Jihad Al-Shamie, mwenye umri wa miaka 35, raia wa Uingereza mwenye asili ya Syria, aliwagonga watu kwa gari kisha akaanza kuwachoma visu nje ya sinagogi la Kiyahudi la Heaton Park jijini...
Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla, Elon Musk, ameweka rekodi ya kihistoria Oktoba 1, 2025 baada ya kufikia utajiri wa karibu $500 bilioni, sawa na takribani Shilingi za Kitanzania Kadrilioni 1.2 (zaidi...
Israel imetumia ndege za Kimarekani za F-35 kuishambulia Iran.
Ndege hizo zina uwezo wa kujazwa mafuta zikiwa angani.
Uwezo huo wa midair refueling Israel haina.
Marekani, ambao ndo...
Rais wa Korea Kusini, Lee Jae Myung, ameomba radhi rasmi siku ya Alhamisi kwa niaba ya taifa lake kutokana na usimamizi mbovu wa programu za uasili wa watoto nje ya nchi ambazo zilikuwa zimejaa...
Kwa muda mrefu nchini Nigeria kumekuwa na vikundi vya kigaidi vinavyoua wakristo kwasababu wana dini tofauti, Hata hivyo vyombo vya habari vimekuwa kimya.
kupitia mtandao huru wa X watu wengi...
Watu wawili wameuawa baada ya maafisa wa polisi kufyatua risasi wakijaribu kuwazuia kundi la waandamanaji waliodaiwa kutaka kuvamia kituo cha polisi kusini mwa Morocco, vyombo vya habari vya...
Israel inakadiria kuwa watu 500,000 wameuhama mji wa Gaza wakati IDF ikisonga dhidi ya ngome za Hamas
Wengi walioondoka wanaviambia vyombo vya habari vya Kiarabu kwamba Hamas ilijaribu kuzuia...
Nchi nyingi za Magharibi kwa miaka mingi zimekuwa zikikariwa na jamii ya watu wa Dini ya kikristo, Nazungumzia Amerika Kaskazini, Amerika Kusini na Ulaya. Lakini hivi karibuni kumekuwa na ongezeko...
Takribani watu 30 wamepoteza maisha na zaidi ya 200 kujeruhiwa baada ya skafoldi kuporomoka katika Kanisa la Menjar Shenkora Arerti Mariam, jimbo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia. Tukio hilo...
Wakuu,
Nimekutana na clip ya askari wa ICE wa Marekani ambao wanahusika na masuala ya uhamiaji wakiwa wanamfukuzia huyu jamaa kwenye kibaiskeli chake
Huyu jamaa ni mtu wa delivery na ili tukio...
Kwa Mujibu wa Taarifa zilizochapishwa na Mashirika Mbalimbali ya Habari Septemba 29, 2025, Vijana wa Morocco waliongoza maandamano makubwa wakipambana na polisi na kufunga barabara kuu katika kile...
Mfalme kuwa na mamlaka ya kuongoza serikali
Mamlaka ya kuendesha serikali yako mikononi mwa Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri. Mfalme hawezi kuamua sera za nchi wala kutoa maagizo kwa serikali...
Serikali ya Marekani imefungwa kuanzia saa sita usiku wa kuamkia Jumatano (saa 4:00) baada ya wabunge kushindwa kufikia makubaliano ya bajeti.
Hali hii imesababisha baadhi ya huduma za serikali...
UAE imeweka masharti magumu kwa nchi za kiafrika
https://m.youtube.com/watch?v=jFr3iC4irFw
UAE na Abu Dhabi kuanzia January 2026 zuio hilo litaanza kutumika biashara, matembezi, kazi
.
Raia wa...
Takribani watu 69 wamefariki dunia kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililokumba jimbo la kati nchini Ufilipino usiku wa Septemba 30, 2025
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 6.9 katika kipimo cha...
Mamlaka ya Paris yanafanya uchunguzi juu ya kifo cha balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nkosinathi Emmanuel Mthethwa, ambaye alipatikana nje ya hoteli ya ghorofa nyingi siku ya Jumanne...
Serikali ya Marekani imefungwa rasmi baada ya Bunge la Congress kushindwa kufikia makubaliano ya ufadhili wa kuendesha shughuli za kila siku, na hali iliyobaki kuwa sintofahamu kuhusu...
Kuna hii Video kutoka BBC Eye inaonyesha jinsi maandamano ya Gen Z Occupy Parliament na jinsi gani waliohusika kufanya mauaji na kuonyesha kulikuwa hakuna sababu ya kufanya mauaji hayo..... Very...
Rais Trump: "Historia imetuonyesha kwamba wale walio na uhusiano na Israeli wamestawi, wakati wale ambao wamejitolea rasilimali zao kuangamiza Israeli wamedhoofika"
Chama cha The Democratic Union of Builders (UDB), kilichozinduliwa miezi michache tu iliyopita na Rais Brice Oligui Nguema, kimeongoza katika awamu ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge nchini Gabon...