International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Waandamanaji nchini Madagascar wamekataa kushiriki mazungumzo yaliyotangazwa na Rais Andry Rajoelina Oktoba 8, 2025, wakimtuhumu kiongozi huyo na serikali yake kwa vitendo vya ukandamizaji. Rais...
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Baada ya Majeshi shupavu ya Israel kushusha kipondo kikali kwa magaidi wa Hamas hatimaye usiku wa kuamkia leo wamekubali kwa hiari yao kuwaachia mateka waliowateka Oct 07,2023. Kukubali kwao...
0 Reactions
1 Replies
241 Views
Uchaguzi wa Malawi uliofanyika na Malawi kupata Rais wa kuongoza nchi ya Malawi. Rais wa Malawi aliyechaguliwa hatomaliza miaka yake mitano ijayo ataondoshwa. Huu ni uhakika wa 100% ataondoshwa...
2 Reactions
14 Replies
717 Views
HUU HAPA MPANGO WA KUMALIZA VITA YA GHAZA AMBAO ULIMWENGU WOTE UMEUKUBALI KUWA UNAFAA . Na Tonny Gwanco Mpango wa Amani wa Gaza wenye vipengele 20 uliotolewa na Donald Trump Waziri Mkuu wa...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Ukichunguza vizuri nchi hizi utaona ndiyo vinara wa rushwa duniani. Rushwa zao wamezifichaficha na kuzihalalisha kwenye makaratasi. US wanapeana rushwa kubwa kubwa wanazoita lobbying. Unakuta...
1 Reactions
5 Replies
248 Views
Serikali ya Ivory Coast imepiga marufuku mikutano na maandamano ya umma yanayolenga kupinga kuondolewa kwa viongozi wakuu wa upinzani kwenye uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25...
1 Reactions
7 Replies
415 Views
Serikali ya Somalia imetangaza mpango wa kuingiza lugha ya Kiswahili katika mitaala ya shule na vyuo vikuu kama sehemu ya juhudi pana za kuimarisha ushirikiano wake ndani ya Jumuiya ya Afrika...
1 Reactions
2 Replies
330 Views
Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92, Paul Biya, ameonekana hadharani Jumanne Oktoba 7, 2025 katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu ujao, ambapo kiongozi huyo mkongwe...
0 Reactions
1 Replies
283 Views
Vijana wa Morocco wameingia barabarani, wanakiwasha, ifahamike hawa vijana wa Gen Z huwapumbazi kwa chochote, hata utumie dini hawatakuskliza, boresha uchumi na mifumo tu basi................ A...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Wakuu, Nimeshangaa sana kukutana na list hii. Kwa hiyo Uingereza kwa siku moja approximately wanakamata watu 30 kutokana na comments wanazotoa mitandaoni. Inakuwaje kuwaje, Russia na China...
3 Reactions
13 Replies
513 Views
Kinyume na katiba ya nchi hiyo Trump amepeleka majeshi ya jimbo lingine(Texas) kafanya kile anachoita operation ya usalama wa raia katika jimbo lingine(Illinois) kwa madai ya ukosefu wa usalama...
0 Reactions
2 Replies
308 Views
Wanaodhani Lengo la Putin ni kuchukua Ukraine Kisha Kutawala Ulaya Wanajidanganya – Hiki Ndicho Kitakachotokea Vita Vikilipuka Kati ya Urusi na NATO Mvutano kati ya NATO na Urusi umeongezeka...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba rapa na mfanyabiashara maarufu Sean “Diddy” Combs amemuomba msamaha wa rais kufuatia kesi yake ya jinai ya shirikisho. Trump alitoa kauli hiyo...
2 Reactions
4 Replies
621 Views
Oct 07,2023 haikuwa "mgogoro." Ilikuwa ni mauaji ya kutisha dhidi ya Wayahudi. Wanadamu 1200 walichinjwa. Raia walichukuliwa hadi Gaza kama mateka. Na ulimwengu ukaona. Kisha zikaja...
1 Reactions
2 Replies
211 Views
Kwa ufupi sana resistance imesimama zaidi Yemen kwa usaidizi wa karibu kabisa " technically" kutoka Iran. Tumeona shifting kutoka US zaidi ya mara 3 kuhusu houthi na misimamo Yao. Israel imekua...
4 Reactions
13 Replies
620 Views
Maelfu ya vijana wamejitokeza tena mitaani katika mji mkuu Antananarivo, wakiendelea kushinikiza serikali kushughulikia ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme, na ufisadi. Tizama hali ilivyokuwa...
1 Reactions
9 Replies
364 Views
Seychelles itashiriki tena uchaguzi wa urais baada ya kukosekana mshindi wa moja kwa moja, kwa taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Septemba 28, 2025. Mgombea wa upinzani Patrick Herminie...
3 Reactions
1 Replies
207 Views
Makanisa huko Ulaya ambako ndio watu wa mwanzo kupokea ukristo na baadae waliowatuma wamissionari kuja kuwalaghai Waafrica na kuwaingiza kwenye Imani yao ambayo Sasa wameanza kuwapeleka Sodoma...
3 Reactions
16 Replies
481 Views
Maandamano hayo yalioyotokea katika miji mikubwa ya italia yenye wito wa kuupinga uhusiano wa kifedha, kisiasa na kijeshi kati ya Italia na Israel, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inaingia...
1 Reactions
9 Replies
404 Views
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi 'Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu licha ya Waandamanaji kutaka Rais ajiuzulu Uteuzi wa 'Ruphin Fortunat Zafisambo'...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…