Waandamanaji nchini Madagascar wamekataa kushiriki mazungumzo yaliyotangazwa na Rais Andry Rajoelina Oktoba 8, 2025, wakimtuhumu kiongozi huyo na serikali yake kwa vitendo vya ukandamizaji.
Rais...
Baada ya Majeshi shupavu ya Israel kushusha kipondo kikali kwa magaidi wa Hamas hatimaye usiku wa kuamkia leo wamekubali kwa hiari yao kuwaachia mateka waliowateka Oct 07,2023.
Kukubali kwao...
Uchaguzi wa Malawi uliofanyika na Malawi kupata Rais wa kuongoza nchi ya Malawi.
Rais wa Malawi aliyechaguliwa hatomaliza miaka yake mitano ijayo ataondoshwa.
Huu ni uhakika wa 100% ataondoshwa...
HUU HAPA MPANGO WA KUMALIZA VITA YA GHAZA AMBAO ULIMWENGU WOTE UMEUKUBALI KUWA UNAFAA .
Na Tonny Gwanco
Mpango wa Amani wa Gaza wenye vipengele 20 uliotolewa na Donald Trump
Waziri Mkuu wa...
Ukichunguza vizuri nchi hizi utaona ndiyo vinara wa rushwa duniani. Rushwa zao wamezifichaficha na kuzihalalisha kwenye makaratasi. US wanapeana rushwa kubwa kubwa wanazoita lobbying. Unakuta...
Serikali ya Ivory Coast imepiga marufuku mikutano na maandamano ya umma yanayolenga kupinga kuondolewa kwa viongozi wakuu wa upinzani kwenye uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25...
Serikali ya Somalia imetangaza mpango wa kuingiza lugha ya Kiswahili katika mitaala ya shule na vyuo vikuu kama sehemu ya juhudi pana za kuimarisha ushirikiano wake ndani ya Jumuiya ya Afrika...
Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92, Paul Biya, ameonekana hadharani Jumanne Oktoba 7, 2025 katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu ujao, ambapo kiongozi huyo mkongwe...
Vijana wa Morocco wameingia barabarani, wanakiwasha, ifahamike hawa vijana wa Gen Z huwapumbazi kwa chochote, hata utumie dini hawatakuskliza, boresha uchumi na mifumo tu basi................
A...
Wakuu,
Nimeshangaa sana kukutana na list hii.
Kwa hiyo Uingereza kwa siku moja approximately wanakamata watu 30 kutokana na comments wanazotoa mitandaoni.
Inakuwaje kuwaje, Russia na China...
Kinyume na katiba ya nchi hiyo Trump amepeleka majeshi ya jimbo lingine(Texas) kafanya kile anachoita operation ya usalama wa raia katika jimbo lingine(Illinois) kwa madai ya ukosefu wa usalama...
Wanaodhani Lengo la Putin ni kuchukua Ukraine Kisha Kutawala Ulaya Wanajidanganya – Hiki Ndicho Kitakachotokea Vita Vikilipuka Kati ya Urusi na NATO
Mvutano kati ya NATO na Urusi umeongezeka...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba rapa na mfanyabiashara maarufu Sean “Diddy” Combs amemuomba msamaha wa rais kufuatia kesi yake ya jinai ya shirikisho.
Trump alitoa kauli hiyo...
Oct 07,2023 haikuwa "mgogoro." Ilikuwa ni mauaji ya kutisha dhidi ya Wayahudi.
Wanadamu 1200 walichinjwa. Raia walichukuliwa hadi Gaza kama mateka.
Na ulimwengu ukaona.
Kisha zikaja...
Kwa ufupi sana resistance imesimama zaidi Yemen kwa usaidizi wa karibu kabisa " technically" kutoka Iran.
Tumeona shifting kutoka US zaidi ya mara 3 kuhusu houthi na misimamo Yao.
Israel imekua...
Maelfu ya vijana wamejitokeza tena mitaani katika mji mkuu Antananarivo, wakiendelea kushinikiza serikali kushughulikia ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme, na ufisadi. Tizama hali ilivyokuwa...
Seychelles itashiriki tena uchaguzi wa urais baada ya kukosekana mshindi wa moja kwa moja, kwa taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Septemba 28, 2025. Mgombea wa upinzani Patrick Herminie...
Makanisa huko Ulaya ambako ndio watu wa mwanzo kupokea ukristo na baadae waliowatuma wamissionari kuja kuwalaghai Waafrica na kuwaingiza kwenye Imani yao ambayo Sasa wameanza kuwapeleka Sodoma...
Maandamano hayo yalioyotokea katika miji mikubwa ya italia yenye wito wa kuupinga uhusiano wa kifedha, kisiasa na kijeshi kati ya Italia na Israel, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inaingia...
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi 'Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu licha ya Waandamanaji kutaka Rais ajiuzulu
Uteuzi wa 'Ruphin Fortunat Zafisambo'...