Wizara ya Ulinzi ya Korea Kaskazini imetangaza kumaliza maandali yake ya kufanya jaribio la sita la kurusha kombora la nyukilia.
Marekani na Korea Kusini wasikitishwa na vitendo vya KOrea...
Serikali yatangaza kuwapunguza kazi jumla ya Watumishi wa Umma 25,000 kwa sababu haina uwezo wa kuwalipa wote mishahara
Pia imetangaza kufuta posho zote kwa wafanyakazi wa umma kwa kipindi cha...
Rais wa Marekani Barack Obama amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali alikuwa amemwita "mwana wa kahaba".
Bw Obama awali alikuwa amesema kwamba angemuuliza...
10- J- 10
.
"
The J-10 adopts a tailless delta-canard aerodynamic layout, which was originally developed for the cancelled J-9 fighter. The aircraft has the horizontal control surfaces...
John W. Hinckley Jr. Aliyejaribu kumuuwa rais Ronald Reagan mwaka 1981 ameachiwa huru.
Mahakama ameamuru aachiwe huru mara baada ya kubaini anamatatizo ya akili, amekaa gerezani kwa miaka 35...
Watu zaidi ya 100 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mfurulizo wa mashambuluio ya anga. katika majiji ya Aleppo na Idlib, masaa kadhaa baada ya Marekani na Urusi kutangaza mpango wa...
Takribani watu 21 wamefariki dunia na 70 wamejeruhiwa, kufuatia kutokea kwa mlipuko katika kiwanda kimoja nchini Bangladesh.
Taarifa ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa katika Kiwanda hicho...
A federal appeals court on Friday blocked Kansas, Georgia and Alabama from requiring residents to prove they are U.S. citizens when registering to vote using a national form.
The 2-1 ruling is a...
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.
Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump...
Hivi karibuni wajerumani walifanya uchaguzi wa serkali za mitaani,katika matokea chama cha Christian Democratic Union (CDU) kimepoteza viti vingi sana.
Sababu za kushindwa vibaya kwa bi Merkel ni...
Bunge la Afrika Mashariki limepitisha azimio la kuifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya jamii ya Afrika Mashariki.
Wajumbe wa bunge hilo wamekubaliana kwamba mabadiliko hayo yalikuwa...
Harnaam Kaur anasema kwa miaka mingi amekejeliwa kwa sababu ya ndevu zake
Mwanamitindo mwenye ndevu za urefu wa inchi sita ametambuliwa na Guinness World Record kuwa mwanamke wa umri mdogo zaidi...
Kiongozi wa taifa la Palestina Mahmoud Abbas
Wakati mkutano wa mapatanisho kati ya taifa la Palestina na Israeli ukiandaliwa kufanyika chini ya raisi Vladimir Putin, Israeli wametoa mdai kwamba...
Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana kuwa ndio baba mwenye umri mdogo zaidi duniani.
Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort...
Mmoja ya waanzilishi wa mtandao wa Facebook, Dustin Moskovitz amechangia bilioni 40 za Kitanzania kwa chama cha Democrats, kusaidia kumbwaga Donald Trump
============
The money will go to...
Maji katika mto Daldykan yamekuwa ya rangi nyekundu
Wachunguzi wa masuala ya mazingira nchini Urusi wanajaribu kubaini sababu iliyoyafanya maji ya mto ulio karibu na kiwanda cha nikeli cha...
Laana ya kumuua Gadafi inazidi kumuandama Obama, Dunia nzima inamkataa, sasa jina lake limepewa vijidudu vinavyoshambulia na kuharibu Mapafu!
Huyu ni Parasite mpya aliyegunduliwa huko nchini...
Mmoja wa waanzilishi wa facebook Dustin Moskovitz amemwaga $20M ili ahakikishe Donald Trump anashindwa katika mbio zake za kuwania urais
Dustin kwa upande wake amesema anamuunga mkono bibie...
Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jabhat Fateh al-Sham, ameuawa kwenye shambulio katika jimbo wa Aleppo.
===========
The militant group, which changed its name in July from the Nusra Front to...
Idadi kubwa ya watalii wamekwama kwenye magari ya waya katika milima ya Alps huko kusini ya kati mwa bara la Ulaya.
Taarifa kutoka Barani Ulaya zimesema kuwa watalii hao wamekwama katika gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.