Waziri anayehudumu katika masuala ya uchumi na usalama wa Taifa katika Seikali ya Japan, Sanae Takaichi, ameshinda kura ya kihistoria ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke kuwahi kutokea Nchini...
Huu ndio uhalisia ulivyo huko Gaza ambako mama badala kubembeleza watoto wao wapendwa na kuwanyonyesha wao huwa wanalia wakiagana nao
.Innaa Lillaah wainna ilayhi raajiuun.
Wanaukumbi.
Israel directly targeted Palestinian rescue workers at the Nasser Medical Complex in Gaza's Khan Younis.
Journalists Mohammed Salama, Hussam Al Masri and Mariam Abu Dagga were among...
Habari ndio hio Ayatollah Ali Khomen baba lao, anasema Rais wa marekani Trump alienda israel ili ku raise morales zao sababu zipo chini sana baada ya kipigo walicho pokea tokea Iran, sababu...
ISRAEL YAZINDUA MFUMO MPYA WA KOMBORA LINAONGOZWA NA LASER 🇮🇱
Kutana na LAHAT ALPHA, kombora hilo ni Game-Changer ambalo hufunga shabaha kutoka umbali wa zaidi ya KM 20. Hawezi kuliona wakati...
Balozi wa Marekani nchini Lebanon amewapa vidonge vyao waarabu kwa kuwaambia hawajastaarabika.
Tom Barrack ambye ni Balozi wa Marekani nchini Uturuki na mwakilishi maalum wa nchi hiyo nchini Syria...
Donald Trump anadai idara ya ya sheria ya Marekani/Department of Justice(DoJ) imlipe $230 million kwa kadhia za uchunguzi na kesi mbalimbali zilizoendeshwa na idara hiyo dhidi yake katika miaka...
Kutokana na China kuwa na teknolojia kubwa hasa katika utengenezaji wa bidhaa za high technology imeanza kuwekeza viwanda katika mataifa ya Ulaya kutokana na mataifa hayo kuwa nyuma katika...
Habari za hivi punde ni kuwa Rais Trump anatarajiwa kuruhusu mashambulizi ndani ya Venezuela kwa lengo la kumuondoa Rais Madulo,
Venezuela tayari imesogeza Vilinda Anga muda mchache uliopita...
Mmojawapo wa wanamkakati wakubwa na wa kwanza wa MAGA , Steve Bananon ambaye pia amewahi kuwa mshauri na katibu mkuu kiongozi katika utawala wa Trump anasema kwa namna yoyote ile Trump lazima awe...
Ni muda mrefu sasa maskini wawatu, wakiristo wa Nigeria wamekuwa wakichinjwa na Waislamu wenye Siasa Kali huko Nigeria katika maeneo ya kaskazini na kwa siku za karibuni Central Plateau States...
Mamlaka ya usalama wa taifa la China hivi karibuni ilifanikiwa kuzima jaribio la kushambulia Taasisi ya Huduma ya Wakati ya China. Kulingana na matokeo ya uchunguzi yaliyotangazwa, shambulio hilo...
Huwa nawashangaa sana watu wanaosema Israel inapiga vita, Israel haipigani vita huwa inajilinda, wanaopiga vita ni kina Iran na vikundi vyake.
Israel wana deal na targets kubwa zaidi kama wakuu...
Takribani watu 20 wamekamatwa nchini Cameroon kuhusiana na maandamano yanayohusiana na uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, huku mvutano ukiendelea kuongezeka kabla ya matokeo rasmi kutangazwa...
Hatutakubali kushirikiana na UNRWA - shirika ambalo wafanyakazi wake walishiriki katika mauaji ya Oct 07,2023 kwa kuua watu wetu na wengine kuwateka nyara.
Ni jambo la kutisha na la aibu kwamba...
Smotrich kuhusu uhalalishaji wa Saudia: 'Hapana asante, endelea kupanda ngamia' Waziri wa Fedha Bezalel Smotrich anasema kwamba hatakubali makubaliano ya kuhalalisha na Saudi Arabia ikiwa...
Ni swali TU najiuliza
Tuongee TU kiuhalisia bila ushabiki wa upande wowote waarabu wangepewa uwezo wa maarfa na silaha kama mataifa ya magharibi Dunia ingekuwaje ?
Elon Musk amewatolea povu waziri wa uchukuzi wa Marekani Sean Duffy na serikali ya Trump kufuatia mpango kutaka kuiweka NASA chini ya waziri wa uchukuzi au kama mojawapo ya wizara tofauti na...
Islamic Jihad imethibitisha kuwa maafisa wake wakuu 15 waliangamizwa na majeshi hodari ya Israel hivyo kuashiria pigo kubwa kwa uongozi wa kundi hilo huko Gaza kwa sasa vita vimeisha na wao...