Kwa wikendi ya tatu mfululizo wananchi wa Korea Kusini waliyojawa na ghadhabu wameamua kumiminika katika barabara za mji mkuu wa Seoul kumtaka rais wa taifa hilo, Park Guen Hye kujiuzulu...
The entire mainstream media attempted to rig an election for Hillary Clinton, breaking hundreds of years of press protocol and lost.
The irrelevant mainstream media is going to have rough 8 years...
Wamejitokeza barabarani wakiimba kwa sifa na kusheherekea ushindi wa Trump. Wafuasi wengi wa ISIS wanategemea vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Marekani na kwamba hiyo ndio itakua anguko la...
Katika mambo yoote niliyosikia kuhusu Mke wa D.Trump, Melania Trump sijawahi kusikia Wazungu wakicheka lafudhi ya Kiingereza chake, huyu Mama anatokea nchi ya Slovenia ambayo iko Ulaya ya...
Watu kwa maelfu katika baadhi ya miji mikubwa nchini Marekani wanaandamana kupinga ushindi wa Rais mteule, Donald Trump kuwa Rais wa 45 wa Taifa hilo.
Baadhi ya waandamanaji wamekusanyika nje ya...
Najua ni wachache wanaokumbuka tukio hili
Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S"
Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya...
Muda wa Michezo umekwisha sasa, kila la heri kaanzishe NGO yakusaidia Afrika uje utupige porojo, mpishe D.Trump apige kazi to make America Great Again!
Uchaguzi wa Marekani umemalizika kwa Mr Trump kutangazwa kuwa mshindi kinyume na matarajio ya watu wengi akiwemo Tb Joshua. kilichonivuta nyuma ya keyboard ni hotuba ya bi Hirary Clinton...
Prime Minister Theresa May has been warned by a leading German politician that she is 'delusional' if she believes she can get a good trade deal from Donald Trump.
Axel Schafer, a senior member...
Ndugu wana JF naomba msaada kidogo kueleweshwa juu ya ushiriki au uhusika wa Fremason kwenye uchaguzi wa USA TAR 11.9 MLIPUKO PALE PENTAGON TAR.9.11 uchaguzi huwa nasikia hao wakubwa wanachezaga...
November 10, 2016 at 11:31 am
By Daniel Sabiiti
Cable car would make access to mount Karisimbi summit easy
Rwanda has found an investor ready to implement the ambitious cable car project which...
Kutana na wale wanaotarajiwa kuwa mawaziri wa Trump.
Source: BBC
Image Hili huenda likawa baraza la mawaziri la Trump
Kwa sasa kilicho kwenye akili za wengi ni kuhusu nani watapewa...
Katika soma soma news mtandoni leo nimeona makala zikielezea Bilionea tapeli R Allen Stanford ambaye alineemeka na pesa za watu kwa kwa style ile iayojulikana kwa wengi hapa bongo kama UPATU...
Kifaa kikubwa cha chuma kimeanguka kutoka angani katika eneo la migodi Kaskazini mwa Myanmar
Kifaa hicho cha muundo wa mviringo, kilichopatikana siku ya Ijumaa katika jimbo la Kachin, kina urefu...
Maandamano ya Wamarekani dhidi ya Trump yameingia siku ya tatu sasa. Maandamano hayo yanaonekana kuwa na dhima kuu 3:
1. Wengi wa waandamanaji hasa hawapingi ushindi wake ila wana hofu kuwa...
HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA ISRAEL NETANYAU KUHUSU AFRIKA.
Hatujiwajibishi hata kidogo kujaribu kuthibitisha au kudokeza kwa kila mtu na kwa Waafrika na Waarabu kuwa Sisi (Weupe) tu watu tuliobora...
Kwanini Marekani kuna vyama viwili tu vya Siasa tofauti na baadhi ya nchi nyingine??
Na je mtu akitaka kuanzisha chama chake cha Siasa anaruhusiwa kwa Sasa?