Waziri wa mambo ya nje Urusi Bwana Lavlov adai kuwa usiku wa kuamkia leo Ukraini ilijaribu shambulia makazi Putin
Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa
Hayo yakitokea
Rais wa Ukraini...
Hamas inatangaza rasmi safu ya maafisa wakuu ambao waliangamizwa katika miezi ya hivi karibuni (kwa mpangilio kutoka kushoto kwenda kulia):
Abu Ubaida - Msemaji wa Hamas
Ra'ad Saad - Mkuu wa...
Kunapokuwa na foleni nchini Ujerumani, madereva hulazimika kisheria kupita pembeni ya barabara ili kuacha nafasi ya magari ya dharura kama magari ya wagonjwa na zimamoto.
Je unadhani ni muhimu...
Taiwan inaonekana kuwa nchi ya kwanza kuunga mkono uamuzi wa Israel kuitambua Somaliland.
Ijumaa Israel ilitangaza kuitambua rasmi Somaliland kama taifa huru, na kuwa nchi ya kwanza duniani...
Rais wa Marekani alipoulizwa kama Iran utaendelea na mpango wake wa Nuclear na makombola itazhambuliwa? Trump Ali jibu kwa makombola ndiyo atashambuliwa lakini kwa Nuclear atashambuliwa harakati...
Nigeria kuna Boko Haram wenye mirengo mikali ya kiislam ikiwemo kuona watu wa dini nyingine hawatakiwi kuishi na kuwaua ni ibada, wameweza kuua wakristo wengi sana hasa mikoa ya kati (Middle belt)...
Utafutaji mpya wa ndege ya Malaysia Airlines MH370 umeanza zaidi ya muongo mmoja baada ya kutoweka katika moja ya mafumbo makubwa ya ajali za anga duniani.
Kampuni ya utafiti wa baharini, Ocean...
Israel, Ugiriki, na Cyprus zimetia saini "mpango wa kazi wa pande tatu" kwa ushirikiano wa kijeshi unaojumuisha, miongoni mwa mambo mengine, mazoezi ya pamoja na mafunzo, vikundi vya kazi katika...
Kwa zaidi ya miaka 30, Somaliland imekuwa ikifanya kazi kama serikali:
• Serikali inayofanya kazi
• Uchaguzi wa kidemokrasia
• Vikosi huru vya usalama
• Kutovumilia kabisa na kuwadhibiti magaidi...
BREAKING: ISRAEL yazifunga rasmi ofisi za UNRWA huko Israel.!!!!
Bunge la Knesset liliidhinisha sheria inayohitimisha shughuli za UNRWA nchini Israel. Shughuli zitakazo sitishwa ni kama...
Trump kuhusu Hamas: "Itakuwa ya kutisha kwao - ya kutisha, kwa kweli, mbaya sana kwao [kama hawatapokonya silaha]. Sitaki hilo litokee, lakini walifanya makubaliano kwamba watawapokonya silaha."...
Nimechoshwa na swaga za ccm eti tumeleta maendeleo, maendeleo yepi hayo? ya kukamata wapinzani na kuwasweka lupango na kuwalazimisha watu wote wawe ccm utadhani watu wote wanapenda jehanamu...
Wachambuzi: ISRAEL ILIITAMBUA SOMALILAND HIVI KARIBUNI, LAKINI NI NINI?
Kwanza, ufafanuzi wa haraka: Somaliland sio Somalia.
Somaliland imekuwa ikifanya kazi kama chombo tofauti, kinachojitawala...
Wapendwa kwanza niwatakie heri ya X mass na mwaka mpya, then niende kwenye mada yangu
Nadhani hakuna asiyejua kua America ndio baba wa ubepari, kuna miaka hapo nyuma walikua wanajificha sana...
Ipo Haja Nchi za Afrika Kufanya tathmini ya kimaendeleo ukilinganisha na misaada tunayopata kutoka kwa wakoloni, Lazima tutambue Kwa Kuangalia Malengo,Mikakati,Sera na Matokeo ya uwekezaji...
Nchi za kiarabu na kiislamu zimepinga vikali Somaliland kutambuliwa na Israel. Ikumbukwe kuwa nchi ya Somaliland imekuwa huru kwa zaidi ya miaka 30 na hakuna nchi yoyote ya kiarabu iliyoitambua...
Ilitoa sharti kama lazima msikiti ujengwe kwenye ardhi yake lazima muundo uonekane wenye mandhari ya Kichina, na Mchina yeyote anayejiunga kwenye dini ya muarabu anapaswa atambue yeye ni Mchina...
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya...
Mtangazaji wa TV kutoka Marekani Tucker Carlson ametoa mahojiano yake na Rais wa Iran Masoud Pezzekian. Siku mbili zilizopita, alitoa video akisema kwamba alikuwa amemhoji Bw. Pezzekian na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.