IDF Katikati kusimamisha Usalama wake Leo Ndege Tatu za Kivita za “Adir” (F-35i) zimetua Katika Kambi ya Jeshi la anga la Israel huko Nevatim
Msemaji wa IDF alitangaza kwamba ndege tatu mpya za...
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu Aitisha Mkutano wa Usalama kuhusu Iran na Gaza Pamoja na Wakuu wa Ulinzi
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aliitisha mkutano wa usalama wa faragha uliolenga Iran na...
Ina maana mifumo ya Urusi haizukiziona ndege za US zikija kumdaka Maduro?..
Ndege karibia 150 zitoke US hadi Venezuela kwa masaa 4 angani ya safari mifumo ya Urusi na China isizione
Kichekesho...
Video hii inaonesha maafisa wa shirikisho wa Marekani (federal agents) wakimvuta mwanamke kutoka kwenye gari lake kwa nguvu huko Minneapolis, huku mwanamke huyo akipaza sauti akisema kuwa ni...
Mahakama ya Seoul leo Januari 16 imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, kifungo cha miaka mitano jela kesi, kosa likiwa ni uamuzi wake wa kutangaza sheria ya kijeshi mwishoni...
We are ready to strike Israel again,' Iran’s president warns
1 hour ago
Updated 8:53 AM
Share
A screengrab from Iranian President Masoud Pezeshkian during an interview with Al Jazeera (July 2025)...
Utawala wa Iran chini ya utawala wa jiislamu umewaua waandamaji zaidi ya 12,000 baada tu ya kuzima mitandao nchi nzima
Hii inaonyesha ni jinsi gani utawala huo usivyo na huruma jwa watu wake...
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mara ya kwanza ameweka wazi hadharani kuwa maelfu ya watu waliuawa wakati wa maandamano ya hivi karibuni nchini humo.
Akizungumza katika hotuba...
Kundi lenye silaha katika jimbo la Kermanshah linatangaza kwamba "maasi ya silaha kote Iran yamefikia kilele chake, yako hapa sasa, na yataendelea kukua."
Ni siri iliyo wazi kwamba makundi kama...
Trump ametishia tariff kwa mataifa yatakayofanya biashara la Iran.
Sasa check pesa ya Iran Ilivokula msamba.
1USD = 998, 925 IRR
Halafu kuna mshangazi unapayuka who are you!!
F-35 test pilots described how intense it is to fly the aircraft, The Jerusalem Post reported.
"It's like an 800-pound gorilla sitting on your chest," a pilot said in a Lockheed Martin webinar...
Inachekesha sana Rais Trump. Kashindwa kuwapa haki wamarekani ambao wanafanya maandamano makubwa katika miji ya Marekani baada utawala wa Trump kuwakandamiza.
Trump anasema anawalinda...
Wanaukumbi.
⭕️Huko Tehran, Wairani milioni 1.2 waliandamana kuiunga mkono serikali yao
Kwa upande mwingine, maandamano makubwa zaidi ya kupinga serikali hayakuwahi kukua hadi zaidi ya makumi ya...
Ustaarabu wa hali ya juu wa kijamii ulionekana nchini China pale ambapo wapita njia walisaidia kurejesha makasha yaliyomwagika baada ya ajali ya lori, badala ya kuyachukua au kuiba.
Kilichotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.