International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Ewe mwanaJF amka.. Nawaambieni mtakufa na mtaiacha Jamhuri ya kiislam ya Iran ikiwa kileleni Chuki zenu dhidi ya Uislam na Jamhuri ya kiislam zipo wazi kabisa Kinachowauma ni kustawi na matunda...
2 Reactions
16 Replies
335 Views
Video:Iran wana demokrasia kuzidi Ulaya cheki rais wa Nchi akiwa kwenye Debate Rais yupo kwenye debate na anabishana live na anapanda jukwaa mwenyewe hakuna cha mlinzi wala nini Hii ndo maana ya...
1 Reactions
2 Replies
188 Views
Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu aliyekuwa Waziri Mkuu, Han Duck-soo, kifungo cha miaka 23 jela kwa makosa yaliyohusisha uasi wa kikatiba, yakihusiana na tamko la sheria ya kijeshi lililotolewa...
1 Reactions
6 Replies
345 Views
Mwaka 2024 Canada ikishinikizwa na Marekani iliweka ushuru wa 100% kwa magari ya umeme ya China kama ilivyofanya Marekani. The table has turned, hivi karibuni Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney...
9 Reactions
27 Replies
742 Views
Rais wa Marekani Donald Trump alitumia hotuba yake kwenye Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) 2026 huko Davos, Uswisi, kueleza misimamo yake kuhusu usalama wa dunia, biashara, nishati na siasa za...
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Ndege ya Rais Marekani Air Force One imelazimika kurudi kwenye Joint Base Andrews kutokana na “tatizo dogo la umeme,” kulingana na Afisa wa Ikulu ya White House. Rais wa Marekani Donald Trump...
2 Reactions
23 Replies
963 Views
Mkuu wa Wafanyakazi Eyal Zamir: "Tuko tayari kushambulia kwa nguvu kubwa katika eneo lolote na dhidi ya adui yeyote anayetishia usalama wa Taifa la Israeli." Ameongez salamu hizi ziwafikie Hamas...
1 Reactions
3 Replies
196 Views
Kumbe haya mabroilers maoga hivi, yamezoea kuwaonea kobazi tu #Davos
1 Reactions
0 Replies
148 Views
  • Redirect
Ndege ya Rais Marekani Air Force One imelazimika kurudi kwenye Joint Base Andrews kutokana na “tatizo dogo la umeme,” kulingana na Afisa wa Ikulu ya White House. Rais wa Marekani Donald Trump...
0 Reactions
Replies
Views
“Somalia is not even a country. They don't have anything that resembles a country.” ⁠ .⁠ US President Donald Trump, speaking at the White House a year after his return to office, singled out what...
2 Reactions
1 Replies
264 Views
"Sijali kuhusu tuzo ya amani ya nobel peace prize, ni mwananmke tu mzuri aliyejali kwamba nastahili kupewa tuzo hiyo na nashukuru kwa hilo. Mtu yeyote anayefikiri Norway haina mamlaka juu ya tuzo...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Wanajeshi wa Ukraine wamejiondoa kutoka mji wa mashariki wa Siversk uliokumbwa na vita, huku Urusi ikiendelea kusonga mbele taratibu. Jeshi la Ukraine lilisema Jumanne kwamba lilichukua hatua...
1 Reactions
3 Replies
470 Views
Tume ya Fidia ya Gambia imeanza kulipa fidia kwa waathirika wa ukiukwaji wa haki za binadamu uliotekelezwa chini ya utawala wa aliyekuwa dikteta wa nchi hiyo, Yahya Jammeh, kwa mujibu wa taarifa...
2 Reactions
1 Replies
258 Views
Imagine wabongo Maandamano yajayo tutoke kwa wingi hivi kumng'oa Samuya na vibaraka wake Hii ni Iran leo Jumatatu.....Watu wametoka kwa mamilioni.... Hii nchi nahisi ndo taifa teule itakua sio...
7 Reactions
83 Replies
2K Views
Rais wa mpito wa zamani wa Burkina Faso, anayehusishwa na kupanga njama kadhaa za mapinduzi, amekamatwa nchini Togo na kufukuzwa, kwa mujibu wa vyanzo vya ndani vya habari. Paul-Henri Sandaogo...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Dunia inayumbishwa na mcheza mieleka,je umewahi kuangalia mieleka ile ya kina undertaker na wenzake,ile mikwara wanayopeana jukwaani hii ndio tabia na desturi aliyoirithi Trump kwa sababu yeye...
3 Reactions
9 Replies
442 Views
I think scientists need to study Trump’s brain. It appears to be anomalous! Trump ties Greenland takeover bid to Nobel Prize in text to Norway leader — The Washington Post
0 Reactions
3 Replies
232 Views
Venezuela imeonesha mkanda wa video inayomuonesha mmoja wa askari mamluki raia wa Marekani ambaye ni miongoni mwa askari 13 waliokamatwa baada ya kushindwa kwa shambulio la kigaidi Katika video...
8 Reactions
81 Replies
10K Views
Muswada tata unaolenga kufanya iwe kosa la jinai kwa wanasiasa kudanganya wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Wales umeibua mjadala mkali kuhusu uhuru wa kujieleza na mustakabali wa demokrasia...
0 Reactions
4 Replies
238 Views
Wakati Rais Vladimir Putin akikazia mapenzi yake kwenye vita vya Urusi nchini Ukraine, washirika wake wa kimkakati kote duniani wamebaki wakiishi kwa hisia ya kupuuzwa — au hata zaidi. Nchini...
1 Reactions
11 Replies
450 Views
Back
Top Bottom