Makundi yenye silaha yajitokeza kumpinga Ayatollah huko Iran!!

Makundi yenye silaha yajitokeza kumpinga Ayatollah huko Iran!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,166
Reaction score
7,702
Kundi lenye silaha katika jimbo la Kermanshah linatangaza kwamba "maasi ya silaha kote Iran yamefikia kilele chake, yako hapa sasa, na yataendelea kukua."

Ni siri iliyo wazi kwamba makundi kama haya yanasaidiwa na hata kupewa silaha na Mossad ya Israeli.

 
Mkaanga sumu mossad, we huchoki tuu? Yaan Aayatolla mlishamshindwa mmebaki majungu TU, nilishakwambia mzayuni hana hamu ya kurudia mambo ya juni mwenyewe umejionea juzi tu wameufyata baada ya Putin kuwatumia meseji babu kasema hakutakuwa na cease fire Kama juni, ikianza lazima iishe trump karudisha mkia mwenyewe
 
🇮🇷/🇮🇱 | Israeli sources estimate that the country’s defenses were not fully prepared last night to counter Iranian attacks and may have sustained significant damage.

Verified.

@AlhaqNews
 
Wabongo ni watu wa hovyo ajabi

Kitu tunaweza ni kuitana majina ya hovyo kupitia vita za mataifa yasiyo yetu hakuna kitu tunaweza

Juzi tu hapo, mitoto yenu imeuliwa kama njugu, wengine wenu mlifanya sherehe kwa jambo hilo

Kazi nzuri kwenu ni kusherehekea Myahudi akiuliwa au Muiran akiharibikiwa

Pumbavu zenu kabisa

Vichwa vyenu vimebeba Udini usio na maana yoyote kwa MUNGU

Ni lini Mungu awe kipenzi cha mauwaji ya watu?

Unafanya sherehe asiye wa dini yako akiuwawa au akiharibikiwa ilihali kitabu unachokiamini kin apingana na upumbavu huo?
 
🇮🇷/🇮🇱 | Israeli sources estimate that the country’s defenses were not fully prepared last night to counter Iranian attacks and may have sustained significant damage.

Verified.

@AlhaqNews
Eti Israel sources!! Waarabu-koko tumieni akili zetu vizuri!! Hakuna nchi inaweza kusema hadharani madhaifu yake ya kiulizi!!

Mnachokifanya hapa “mnajitekenya wenyewe harafu mnacheka wenyewe”
 
🇮🇷/🇮🇱 | Israeli sources estimate that the country’s defenses were not fully prepared last night to counter Iranian attacks and may have sustained significant damage.

Verified.

@AlhaqNews
Eti Israel sources!! Waarabu-koko tumieni akili zetu vizuri!! Hakuna nchi inaweza kusema hadharani madhaifu yake ya kiulizi!!

Mnachokifanya hapa “mnajitekenya wenyewe harafu mnacheka wenyewe”
 
Kundi lenye silaha katika jimbo la Kermanshah linatangaza kwamba "maasi ya silaha kote Iran yamefikia kilele chake, yako hapa sasa, na yataendelea kukua."

Ni siri iliyo wazi kwamba makundi kama haya yanasaidiwa na hata kupewa silaha na Mossad ya Israeli.

Hiyo video ya mashoga waliojifanya kuchukuwa bunduki uliiokota wapi?
 
Iran inaenda kuwa kama Syria na Libya, yalianza maandamano vikafuata vita
 
Yanayotokea Iran ni same thing na yaliyotokea Tanzania now wanasaka watu house to house internet ipo offline , starlink set zinatafutwa house to house, maiti hospital zimezuiliwa hadi ununue maziko kama tz miili haionekani. Waliokamatwa ni wengi sana, kisingizio cha maandamano lawama nchi za nje,
 
Wewe choko mleta mada basho wako anaekupelekea moto wewe na netanyau kaufyata sasa mmekuwa wadogo Kama piritoni
 
Eti Israel sources!! Waarabu-koko tumieni akili zetu vizuri!! Hakuna nchi inaweza kusema hadharani madhaifu yake ya kiulizi!!

Mnachokifanya hapa “mnajitekenya wenyewe harafu mnacheka wenyewe”
We kenge Netanyahu alibidi aende Washington kuomba asiguse Iran sababu alipata infomation Iran safari hi ataifuta Israel ikabid Trump ajidai sababu eti Iran kasimsmisha kuwauwa wale vibaraka wao walio watuma kuanzisha vita vya ndani yote ni uwongo mtupu. Iran hawezi kuwauwa bila mahakama kutoa hukumu hio ndio sheria ya Iran.

Iran ni kiboko yao hawatasubutu kumgusa hivyo vikundi vya askari 5000 vitamalizwa kwa masaa tu. USA hatagusa Iran na Ayatollah Ali Khomen atabaki hapo hawawezi muangusha leo au kesho Ayatollah ni v strong


View: https://youtu.be/0HR2FO2VTFk?si=tKfR-Za36n0TnN0C
 
We kenge Netanyahu alibidi aende Washington kuomba asiguse Iran sababu alipata infomation Iran safari hi ataifuta Israel ikabid Trump ajidai sababu eti Iran kasimsmisha kuwauwa wale vibaraka wao walio watuma kuanzisha vita vya ndani yote ni uwongo mtupu. Iran hawezi kuwauwa bila mahakama kutoa hukumu hio ndio sheria ya Iran.

Iran ni kiboko yao hawatasubutu kumgusa hivyo vikundi vya askari 5000 vitamalizwa kwa masaa tu. USA hatagusa Iran na Ayatollah Ali Khomen atabaki hapo hawawezi muangusha leo au kesho Ayatollah ni v strong


View: https://youtu.be/0HR2FO2VTFk?si=tKfR-Za36n0TnN0C

Ya kwenu yanawashinda mtaweza ya Iran?
 
Back
Top Bottom