International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel umekuwa ukitolewa mara kwa mara na viongozi wa kiislamu kote duniani swali najiuliza Je wanaweza? Natarajia kuona...
9 Reactions
36 Replies
446 Views
Raia wachoma magurudumu ya magari barabarani huku mgomo wa usafiri ukiendelea Kenya Chanzo cha picha,NMG Wahudumu wa uchukuzi wa umma wamesema watalemaza sekta ya usafiri hadi pale mamlaka ya...
2 Reactions
8 Replies
264 Views
Askari wa IDF ambaye alionekana kwenye picha akiweka sigara mdomoni mwa sanamu ya Bikira Maria, katika kijiji cha Wakristo kusini mwa Lebanon, amehukumiwa kifungo na kazi ngumi kwa siku 21 jela...
4 Reactions
59 Replies
663 Views
IMETHIBITISHWA: Mkuu wa Hamas, Izz al-Din al-Haddad, ameangamizwa bila huruma huko Gaza. Hii inadhibitisha wazi kuwa Israel ina mkono mrefu!! Habari za kifo hiki ziwafikie Mzee wa Uharo Ritz...
8 Reactions
22 Replies
343 Views
I recently watched a Symposium hosted by Central European University, and the speaker was none other than the eminent and legendary Joseph Nye from Harvard Kennedy School of Governance. The topic...
17 Reactions
140 Replies
11K Views
Kulingana na mwandishi mkuu wa Al Jazeera huko Tehran, Marekani imekataa pendekezo la Iran kwa ukamilifu na wakati wowote Iran itaanza kupigwa!! Pendekezo la Iran lilijumuisha masharti 5 ambayo...
1 Reactions
3 Replies
240 Views
WHO IS NEXT Russian parliament approves law allowing Putin to invade other countries Huyu bwana Putin ni smart sana hakurupuki kama wengine . Wengine wanaweza kukurupuka tu asubuhi na kuanzisha...
6 Reactions
8 Replies
249 Views
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ameendelea kusisitiza umuhimu wa amani na mshikamano kati ya vyombo vya dola na wananchi, kwa kueleza kuwa hataki polisi wake kutumia vitisho kwa raia wala...
2 Reactions
7 Replies
337 Views
Serikali ya Ivory Coast imevunja Tume Huru ya Uchaguzi (CEI) baada ya malalamiko ya muda mrefu na kutoka kwa wapinzani kuhusu jinsi chombo hicho kinavyoendesha chaguzi nchini humo. Hayo...
2 Reactions
4 Replies
205 Views
Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu...
3 Reactions
15 Replies
463 Views
Netanyahu: Vita na Iran havijaisha, uranium iliyotajirishwa lazima ‘iondolewe’ Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anasema kwamba vita na Iran havijaisha kwani bado kuna uranium iliyotajirishwa katika...
1 Reactions
32 Replies
539 Views
Ni Trump aliyeomba kukutana au Xi?!!! Ni nani aliomba wakutane kule china? Trump au Xi?!! Wajuzi wa mambo ya kimataifa nijukisheni tafadhali.
2 Reactions
16 Replies
299 Views
Yerusalemu ni zaidi ya mji. Ni moyo wa Wayahudi, mahali ambapo historia, imani, na utambulisho hukusanyika pamoja katika vizazi vyote. Leo tunaadhimisha Siku ya Yerusalemu na miaka 59 tangu...
3 Reactions
12 Replies
202 Views
Kwa China kila goti litapigwa. Trump yuko safarini kuelekea China kukutana na the most powerful person in the world Xi Jinping. Trump amebebana na CEOs wa makampuni makubwa ya Marekani kwenda...
14 Reactions
51 Replies
884 Views
Jeshi la Anga la Israeli limemlenga kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza, Izz al-Din Haddad, katika shambulio la anga katika Jiji la Gaza, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na Waziri wa Ulinzi...
3 Reactions
1 Replies
96 Views
Wanajeshi wa Israeli kutoka kikosi cha 551, 401, na 300, chini ya uongozi wa Kitengo cha 146, wanaendelea kufanya kazi kusini mwa Mstari wa Ulinzi wa Mbele kusini mwa Lebanon ili kuondoa vitisho...
0 Reactions
15 Replies
159 Views
1.Kamwe usiache kumpa silaha Iran 2 kamwe usikubali mikataba ya kununua mafuta kwao.
2 Reactions
10 Replies
273 Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi akijiliza-liza kwenye mkutano na waandishi wa habari huko New Delhi, India. Maelezo Muhimu: Hatuwezi kuwaamini Wamarekani kabisa. Ndiyo maana kila...
1 Reactions
9 Replies
203 Views
Back
Top Bottom