🌍 ALLIES OR ILLUSIONS?
To have allies like China, Russia, and North Korea can sometimes feel like a waste of time when crisis strikes.
Kuwategemea Urusi, China na North Korea wakupe sapoti...
Operesheni ya "Lion Roar" inapoanza leo, tarehe 28 Februari, tunazungumza sio tu kama wanajamii wa Iran nchini Afrika Kusini, bali kama wana na mabinti wa taifa la kale ambalo historia yake...
COUNTDOWN: 7 Days until the World will witness an unforgettable, behind-the-scenes, look at one of the most important events of our time. -US President, Donald Trump.
Daily Iran News.
BREAKING...
Times of Israel:: US President Donald Trump confirms that a “massive fleet” of US military vessels is heading toward Iran, while reiterating his hope they won’t have to use force.
Speaking...
Kufuatia Agizo la dikteta Ayatollah kuwa kesi za waandamanji waliokamatwa ziende haraka na wahalifu wapate adhabu wanayostahili, zoezi la kuwanyonga waandamanaji waliokuwa wamekamatwa lilitakiwa...
Saudi Arabia imeitoa onyo kwa Iran kufuatia mashambulizi ya makombora dhidi ya mataifa ya Ghuba ya Uarabuni ikiwa ni pamoja na UAE na Qatar, ikiwa inasema mashambulizi hayo ni ukiukaji mkubwa wa...
MELI VITA MHARIBIFU YA IRAN YAPIGWA NA KUZAMISHWA!!
Kuna taarifa zinazoenea kwa kasi zikisema corvette ya Iran ya daraja la Jamaran imepigwa na kuzamishwa katika kile kinachoitwa operation “Epic...
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anatarajiwa kuhudhuria Mkutano wa Nishati ya Nyuklia utakaofanyika jijini Paris mwezi Machi 2026, mkutano ambao utaandaliwa kwa ushirikiano na International Atomic...
Mataifa ya Ghuba yametoa tamko la pamoja kuwa mashambulio ya makombora ya Iran dhidi ya mataifa yasiyohusika kwenye vita inayoendelea kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ni uchokozi wa Iran...
Yaani Iran ni kama mtu Yuko uchi
Wenzao kila kitu chao wanakicontrol
---
An Iranian TV channel has reportedly been "hacked" by a pro-US/pro-Israel cyber attackers amidst the ongoing conflict...
Hakuna malipo au?
Kulikoni yupo kimya kuposti video na picha za watoto na akina mama waliofumuliwa mafuvu kwenye vita inayoendelea hapo Sudani, lakini pia ile ya Iran dhidi ya Israel na Marekani...
Channel 12 news reports that Prime Minister Benjamin Netanyahu was shown an image of the body of Iranian Supreme Leader Ali Khamenei, after it was recovered by Iranian authorities from his...
Rais wa zamani wa Iran amenukuliwa akisema Mossad ni hatari kuliko kifo chenyewe
Akitoa mfano wakati angali Rais wa Iran waliona Kuna dalili nyingi taarfa Muhimu kuvuja
Hivyo yeye km Rais na...
🚨 𝗝𝗨𝗦𝗧 𝗜𝗡:
Iranian 🇮🇷 state media officially confirmed the deaths of several high-ranking officials following a joint U.S.-Israeli military operation that targeted military and government sites...
TUMEONDOA VIONGOZI 48 WA IRAN KWA SHAMBULIO MOJA Donald Trump
Rais wa Marekani Donald Trump ameiambia Fox News kwamba katika mashambulio ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, viongozi 48...
Israel inakuwa na specific target ambazo wanafikia kwa asilimia kubwa na kwa akili kubwa
Ndivyo ilivyotokea kwa Iran
Ofisa wa usalama wa Taifa na msaidizi wake
Makamanda wakuu wa jeshi...
Iran anapata tabu sasa kutokana na nchi za kiarabu kuiruhusu marekani na nchi za ulaya kuweka majeshi Yao katika ardhi ya nchi zao
Nimetafakari kama urusi angeruhusu Ukraine kuwakaribisha Hawa...
Serikali ya Beijing imetoa karipio kali na kuitaka USA na Israel kusitisha kushambulia Iran la sivyo itachukua hatua Kali kwa muda sahihi
Source : msemaji wa serkali ya Beijing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.