Miss Halima
JF-Expert Member
- Aug 4, 2026
- 307
- 680
Sawasawa, kukata uno, kucheza hadharani uchi iwe ruksa siyo?Sema mimi najiuliza sana hivi serious dunia ya sasa inavyokwenda kasi umpangie mtu nafikiri kuna muda viongozi wabadilike kifikra
Kwamba kila mtu anapanda?Usafiri wa umma..
Imejiandika tu mkuu.Kwamba kila mtu anapanda?
Sex worker flani hivi… wakulungwa tunamjuaHuyu ana undugu na P didy?
😳🙂🙂 Huyu Bint anakata uno, huko Tiktok hadi kajenga kibanda, nimeona akilalamika akiomba msaada kwa Wazir Gwajima arudishiwe simu yake baada Polisi wa Osteybay kuichukua na kuishikilia....Lakini bint anaonekana fundi.