Enzi hizo Redio ni Moja tu RTD ya ukweli.
Sasa basi ilikuwa raha kusikiliza mpira halafu mshinde.
Na inayofuata hapa sasa ni nukuu ya kipande cha mwisho cha matangazo ya mpira wa Miguu kati ya...
Toka asubuhi clouds FM sound balance haiko sawa. Yani speaker moja ya kushoto ina sauti kubwa kuliko nyingine. Nimegundua tatizo sio redio yangu sababu stations nyingine zote zimebalance...
Nilikuwa natazama tv ya wafaransa
mara mtangazaji akasema sasa nitamu intavyuu mwanamuziki
ambae amepewa title ya "the father of world music"...
Nikasubiri kwa hamu kumuona mwanamuziki huyo...
Hapa najaribu kuchambua kinachokosekana na kile tunachozani kinakosekana kwenye filamu zetu! Uchambuzi wangu ni mawazo binafsi kwavile mimi si mtaalamu katika tasnia husika ingawaje nina uzoefu...
Kwa wale wapenzi wa muziki mbalimbali kama mimi, unaweza kwenda https://www.spotify.com/fi/open-user/na kusikiliza muziki wa kila aina. Spotify inapatikana kama upo:
Finland
France
Norway...
Leo nimeona watoto street wakipita kupiga vile vingoma vya daku ikanikumbusa long time uswazi tulivipiga kinoma. Nimekumbuka baadhi ya mistari ya enzi hizo......embu cheki....;
Scania, wani wani...
Japo Kim sio Beyonce siku hizi, lakini blogu za Kikenya hazijasita kuwajia juu ma promoter wao kwa kushindwa kuwaletea wasanii kama wa Tanzania wanavyosababisha.
Lil Kim to Rock Tanzania...
Nyimbo hizi huwa zinanipeleka mbali sana....:)
Haya kazi kwenu weekend ndiyo imeanza, kivumbi na jasho mnywe, mcheze kwa furaha...life is too short you need to have good times too...:)
Mixtape maarufu hapa nchini inayokwenda kwa jina la AntiVirus yenye nyimbo zaidi ya nane zilizoimbwa na wasanii mbalimbali wanaojipambanua kama wapambanaji dhidi ya wizi wa kazi za wanamuziki wa...
Zamani zetu zile Mwalimu akiingia darasani tulikuwa tunainuka na kusema Heshima na utii, tukiwa shuleni na nyumbani Shikaaaaamooooooooo Mwaliiiiiiiiiim huku dole gumba likiwa kwenye paji la uso...
Wakuu habari
Naomba wenye link za online radio aswa zenye kupiga miziki yenye asili ya kiafrika wa-post link zake hapa. Nimekuwa nikisikiliza radio moja "http://www.soukousradio.com/" inapiga...
kwa wapenzi wa tamthiliya,
naombeni mnijuze jamani tamthiliya ya impostara inayorushwa na Star Tv iliendelea vp jumapili? mana sikuangalia siku hiyo.
vp sara(vanesa mpya) amemtambua ndugu yake...
Buriani sikinde ngoma ya ukae
- mwanzo ilikuwa kama utani pale redio mbao zilipoanza kutangaza kwamba wamiliki wa bendi ya mlimani park orchestra wana sikinde ngoma ya ukae, shirika la...