Mnamo katikati ya mwaka 2010, EMCEE mkongwe na miongoni mwa waasisi wa HIPHOP hapa Tanzania ndugu Mbunge Joseph Mbilinyi a.k.a Mr II(sugu) kwa kushirikiana na ma-EMCEE wengine wa hiphop wa hapa...
...Kwa wale wenzangu na mie (Kibunango upo???) tuliofurahia enzi hizo 80s Reggae Sunsplash,
enzi za kina Yellowman, Mutabaruka, Greggory Isaac et al...
jina la Smiley Ciulture si ngeni kwenu...
...Jamani hii Clouds Tv inaboa sana na sijui kama wamiliki wake wanaliona hilo....Quality ya picha,sauti graphics ni za chini sana na watangazaji wake wengi hawana skills za kutangaza kwenye...
Easy come, easy go
That's just how you live, oh
Take, take, take it all,
But you never give
Should of known you was trouble from the first kiss, Had your eyes
wide open -
Why were they open...
the sixth season of Africas biggest reality show will kick off on DStv channel 198 on Sunday May 1 and will run for 91 days with a dream grand prize of USD 200 000. Big Brother Amplified...
vipi wakuuu,bana kuna hichi kibao cha UB4O...''THE REASON" kina nikumbusha mbali sanaa ''kuna reason kumii mi nakumbua hizi''
the reason why i love u,one ur light my day,ur my sun,
the reason...
kutoka India vijana wakitanzania watambulisha blog yao saafi kwa ajili ya wasanii,waigizaji,wana mziki pamoja na sanaa zote zingine.Ni full kujiachia ndani ya Hipoz Blog....Come Check for yourself...
Wasalaam,
Kwa wale na hasa wapenda cartoon waliokuwa wakisoma gazeti la Kingo nawaombeni kunijuza juu ya kinachoendelea na gazeti hilo.
Nimejaribu kufuatilia kama linaendelea kutoka lakini...
When the audio is mastered, it makes the whole music sound good. The audio mastering services do a world of good to the musical piece. It fine tunes the piece to make it sound in sync with its...
On Tiger Woods
"He's got experience coming back from technical problems, but he doesn't have experience coming back from shame, until the shame is managed, he will never come back to the level...
Wakuu kwa wale wapenzi wa series huyu mtu nafikiri mtakuwa mnamkubali sana, maana bila yeye naamini PB isingekuwa tamu kama ilivyokuwa.
Jamaa amerudi tena using the same name and th same role...
wadau habar yenu bhana. Ebana mie kama mdau wa mziki huwa na guswa sana na hii style ya uchezaj mzik aina ya viduku,ningependa kufaham historia yake ilipotokea na ni nan alieileta hapa bongo
Pengine zinafurahisha lakini staili na ubunifu Zero...naangalia hizi filamu zetu za nyumbani..mara namsikia mwongozaji akiongea "live" weee ondoa pikipiki yako hapa..akimtaka mwendesha pikipiki...
Jamani ninafilamu yangu ya ASALI Chachu
Imeibwa katika Mazingira ya kutatanisha Huku ikisambazwa katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, sasa naomba Wadau msaada wenu kuiBlock na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.