Hodi hodi wanajamvi.
Kwanza napenda kuwapongeza kwa kazi mnayoifanya ya kujadili na kuchambua masuala ya taifa letu. Iwe inahusu masuala ya kisiasa, kiuchumi, kijamii au kimahusiano, moto wenu ni ule ule tu. Hongereni sana. Mnatufungua macho wengi wetu ambao tumekuwa wasomaji kwa muda mrefu sasa.
Sasa mimi jamani napenda kuwatangazia TV PROGRAM yangu mpya. Program hii ni gameshow na inaitwa FAMILY FULL MAPESA. Ni program ya kijamii ambayo inaenda hewani kupitia kituo cha STAR TV kila JUMAPILI saa 12:30 -1:00 jioni. Ni program mzuri sana ambayo inalenga kuburudisha, kuelimisha, kugusa hisia, pamoja na kugawa vijisenti.
Hapo chini, nimebandika sehemu ya episode moja kwa ajili ya utangulizi kwenu. Kuweza kuona kipindi kizima, vijavyo, pamoja na picha mbalimbali za utengenezaji wa hiki kipindi, tafadhali tembelea SAHIHI ENTERTAINMENT
Mlango wa maoni, maswali, mapendekezo, na makosoaji siku zote utakuwa wazi. Mnaweza kuwasiliana nami hapa hapa au kupitia email zifuatazo: rogart.mmole@gmail.com na rmmole@hotmail.com.
Karibuni sana
[video=youtube_share;Y4v1oejey5g]http://youtu.be/Y4v1oejey5g[/video]
Kwanza napenda kuwapongeza kwa kazi mnayoifanya ya kujadili na kuchambua masuala ya taifa letu. Iwe inahusu masuala ya kisiasa, kiuchumi, kijamii au kimahusiano, moto wenu ni ule ule tu. Hongereni sana. Mnatufungua macho wengi wetu ambao tumekuwa wasomaji kwa muda mrefu sasa.
Sasa mimi jamani napenda kuwatangazia TV PROGRAM yangu mpya. Program hii ni gameshow na inaitwa FAMILY FULL MAPESA. Ni program ya kijamii ambayo inaenda hewani kupitia kituo cha STAR TV kila JUMAPILI saa 12:30 -1:00 jioni. Ni program mzuri sana ambayo inalenga kuburudisha, kuelimisha, kugusa hisia, pamoja na kugawa vijisenti.
Hapo chini, nimebandika sehemu ya episode moja kwa ajili ya utangulizi kwenu. Kuweza kuona kipindi kizima, vijavyo, pamoja na picha mbalimbali za utengenezaji wa hiki kipindi, tafadhali tembelea SAHIHI ENTERTAINMENT
Mlango wa maoni, maswali, mapendekezo, na makosoaji siku zote utakuwa wazi. Mnaweza kuwasiliana nami hapa hapa au kupitia email zifuatazo: rogart.mmole@gmail.com na rmmole@hotmail.com.
Karibuni sana
[video=youtube_share;Y4v1oejey5g]http://youtu.be/Y4v1oejey5g[/video]