wakuu nashangazwa na tabia moja ya kutangaza na kusikitika sana ikitokea mwanamuziki ametutoka
huyu kasoloo kyanga alikuwa na hali ngumu sana kimaisha na hakuna hata mtu mmoja hasa kwa nyie...
Mambo vipi wakubwa,?
Natumaini wote ni wazima wa Afya,ıla kama kuna mwenye kusumbulıwa na Ugonjwa tunamwomba MUNGU ilı apone mapema
Ndugu zangu naomba mwenye nyımbo ya...
Jamani watanzania wenye uwezo mimi ni underground rapa mwenye uwezo wa kutunga na kuyafunga mashairi.nahitaji msaada wadau ili 2gonge kazi mawasiliano0717703276
jaman me naona ingefika wakat tungeuimba huu wimbo wa cku ya kuzaliwa(happy birthday) kwa kswahil?so mwenye uwezo mzur wa kuimba na saut ebu apge extended version kwa kswahil na atuwekee hapa...
Poleni kwa majukumu ya kila siku wana Jf.
Mimi ni kijana ninayependa hits(muziki) zilizopigwa na miaka ya 70's hadi 80's na wanamuzuki mahiri kabisa kama akina chaka khan(Ain't no body), carl...
ndio wakuu. naomba mnisaidie kwa wale wzee wenzang wa zamani kuna wimbo ulikua una kipande kinaimbwa : kila munu avena kwao. uliimbwa na nani na je naweza kuupata wapi jamani?
On My Playlist Now
1. Iridescent - Linkin Park (so addictive so Linkin Park)
2. Otis - Jay Z and Kanye West (the end of that swag rap bulls**t)
3. Monte Carlo Dreams - Phil Ade (beat and lyrics...
We specialize in urban style sneakers and professional athletic shoes,clothes,fashion handbags ect. We only
sell 100% high quality items. The items you purchase always include the original box...
Miss Tanzania imetawaliwa na nyimbo (background) za kihindi cjui kiarabu tuu, Wakibadilisha wanaweka west Africa... Wanawaza nn hawa waandaaji... kwa hili wamenikera aisee...
kitendo cha kuendelea kuwa na mashindano ya vodacom miss TZ,ni wazi kuwa Wao si wamoja katika muungano huu,Taifa linakabliwa na simanzi ya ajari ya Meri wakati wengine wanashindana nani Ana SURA...
Ndugu zangu, naomba kutoa angalizo kuhusu haya mashindano ya Miss Tanzania. Ikumbukwe kuwa hayo mashindano yameendeshwa wakati wenzetu Wazanzibari wamekumbwa na msiba uliotamkwa kuwa wa kitaifa na...
Vodacom miss Tanzania Salha israel(katikati) akiwa na mshindi wa pili Tracy Sospeter(kulia) na mshindi wa tatu Alexia William mara baada ya kutangazwa usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa mlimani...
inakuaje wakumajembe wote hapo? wakuu j2 hii naomba kama nyie ni wapenzi wa the game tafuteni album yake mpya ya R.E.D hususan ngoma aliyofanya na chris brown inaitwa pot of gold
Halikuwa kusudio letu kumchonganisha yeyote na lolote katika thread nyingi zilizoandikwa hapa jana juu ya fikara za hatua gani ingekuwa ya busara zaidi katika kushughulikia maafa haya badala ya...
Huu ndiyo muda niliokuwa nikiusubiri. Mmoja kaulizwa jins ya kuepuka vita ya wenyewe kwa wenyewe, yeye kajibu hatuna udini wala ukabila kwa hyo vita haiwezi kutokea.