Miss world

Miss world

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,988
Reaction score
1,437
naitaji kufahamu mda wa mashindano ya miss world yanaanza saa ngapi kwa saa za bongo na naweza kutazama online kupitia web site gani?
 
sisi tupo mlali hakuna TV hapa home, tupe updates hapa hapa kama wanavo fanya JF sport. how many candidates?
 
bongo saa mbili usiku, ingia miss world website watakuwa na live streaming
 
hakuna channel ya tv inayorusha hapa bongo mkuu!!
 
hivi hakuna wabongo walioko Londan wakwenda kumsupport mwakilishi wetu?
 
UK lazima wambebe mtu wao..na ninawasiwasi na ushindi kwenda Venezuela..MC analalamika juu ya Canada na US wako nje ya 30..lol
 
it is live na 20 bora wamepatikana.......................na yeye hayumo......................nao wamepunguzwa wamebaki 15..................she is out...................pamoja na kutudanganya kwenye TBC1 leo jioni ya kuwa ametolewa mapema lakni alisikia jina lake limerudishwa.........................tujifunze kuwa wa kweli hayumo even in top 50...............................
 
Top 7 includes:-
1) Miss Korea
2) Miss venezuela
3) Miss England
$) Miss Phillipines
5) Miss Puerto Rico
6) Miss South Africa
7) Miss Scotland

waumini wa kujitetea ya kuwa kuna ubaguzi wa rangi hivi Miss South Africa kapitaje hadi fainali?
 
[video]http://dl.groovygecko.net/anon.groovy/clients/missworld/20111106/index.html[/video]
live strem
 
hahahaha ile dhambi waloifanya cku ile meli ilipozama zanzibar(rip ndg zangu)ndo imewasumbua na bdo skendo chafu chafu zitamwandama akirejea!na miss tanzania ndo mwishowe!
 
matokeo yoyote mabaya kwa mshiriki wetu hayatushangazi kwani tumeshazoea kuwa wasindikizaji ktk mashindano yoyote yale.
 
Ifikie kipindi tubadili utaratibu wa kumpata Mrembo yeyote katika shindano lolote la urembo,maana wanaochaguliwa hasa kwa miaka ya hivi karibuni wengi wao hutokana na ''KAMATI MAALUM'' ambayo kwayo inatia shaka.Refer Dodoma hivi karibuni.
 
Mongolia China to host next year Miss World pageantry..............
 
Kwanza afadhali atoke, analaana ya waliokufa kwenye meli ya Zanzibar. Na kama hawata omba Radhi kwa lile waliolifanya siku ile kwa kutokuwa na masikitiko kwa waliopoteza uhai, ninamuomba mungu awape matatizo makubwa kushinda hilo la kutoka mapema.
 
Ifikie kipindi tubadili utaratibu wa kumpata Mrembo yeyote katika shindano lolote la urembo,maana wanaochaguliwa hasa kwa miaka ya hivi karibuni wengi wao hutokana na ''KAMATI MAALUM'' ambayo kwayo inatia shaka.Refer Dodoma hivi karibuni.

vigezo vya kuwachagua bado ni pasua kichwa.....................tungezigatia wenye vipaji kulikoni maumbile ambayo vipimo vyake ni vigumu kubashiri vionjo vya kila mtu.............
 
Kumbe hii kitu ipo live...
Naifuatilia na king'amuzu changu cha Easytv
 
Back
Top Bottom