MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,366
- 1,620
Mahindano ya tikisa dance yalifanyika jana na washindi kujishindia zawadi za mamilioni. aidha mashindano hayo yalihusisha watu upiga kura kwa njiaya kutuma ujumbe mfupi wa maneno. kilichonisikitisha kabla ya mshindi kutangazwa hatukuonyeshwa idadi ya kura zilizopigwa ambazo ziliwapa ushindi huo. hii inanifanye nione kuna kukosekana kwa uwazi na kuleta wasiwasi kama haki ilitendeka kumpata mshindi. mnasemaje kuhusu hili?