Nimesikilza wimbo mpya wa roma mkatoliki ni wimbo wenye ujumbe mkali sana na wenye kuongea kwa hisia kali.
ukuwapi wimbo na unaitwaje?
Unaitwa 2030.. Jibu la ule wimbo wake wa Mathematics...
Nilikua mkoani iringa nikisikliza moja ya radio inayorusha matangazo yake kutokea mkoani mbeya.kipindi kilikua ni kama mdahalo na mada ilikua ni UTAZITAMBUAJE/UTAITAMBUAJE filamu iliyotengenezwa...
In Commando: On The Front Line, director Chris Terrill embarks on a courageous 12-month journey to Afghanistan alongside Britains most elite front line troops the Royal Marine Commandos.A...
Ninazijua link nyingi za ku-download videos za muziki lakini zote ni kwa ajili ya mobile phones.
Kwa yule anayejua links za ku-download free music videos katika format ambayo ni compatible na PC...
Kama uliwahi kukutana na filamu yenye mikasa ya kutisha na ya kusisismua basi hii kiboko. Katika risti humo ndani kuna Chopa wa Mchopanga, Irene Uwoya, Gabu, Chuchu Hansi, Rich mgogoro mkubwa...
Kuna nyimbo za wasanii zimehit sana na zinakonga nyoyo. Ila swali, je hizi nyimbo kwa nini zinaongezeka kipindi cha awamu ya 4??
Mfano wimbo wa kichwa kinauma wa TMK wanaume, Kala Jeremia kaimba...
Kesho jumatano kwenye kipindi cha XXL nyimbo mpya Izzo Bizness inayoitwa ball player itazinduliwa rasmi katika nyimbo hiyo amemshirikisha Albert mangwair, quick rocka na mwanadada hatari wa...
Mkali wa muziki wa Hip Hop nchini Farid Kubanda 'Fid Q' ametukiwa na cheti na afisa mtendaji mkuu wa taasisi ya Under the Same Sun, Mr Peter Ash kutokana na kujitolea katika mapambano dhidi ya...
Nimebahatika kuipitia pitia video zilizopo katka album ya UTAMU WA YESU ya kwake rose muhando hasa hii ya utamu wa yesu,Duh humo nimekutana na mauno na michezo ya hatari mpaka nikajiuliza rose...
mwanamuziki wa kizazi kipya Amani Temba Mh Temba amesema amerudishwa nyuma sana baada ya kuibiwa vifaa vya gari lake aina ya Verros na mikatamba mbalimbali ya kazi na vitu vingine vilivyokuwemo...
Behind Bars
Crime26 Comments
Another chance to see the BAFTA award winning presenter traveling to northern California to visit America's notorious San Quentin State Prison.
Built in 1852, San...
Wengi tunamfahamu mwanamuziki Defao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini ni wachache tunaofahamu wapi alikotokea kimuziki. Defao alianza kupata umaarufu mwanzoni mwa miaka ya 1980...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.