Cute 🙂
Nilipokuwa mdogo ile "fumbua macho" tu nililetewa mwanasesere aliyekuwa rangi ya kahawia ilokoza, kibotwa botwa, macho ya hudhurungi na nywele fupi.
Hiyo ndio picha ya mwanasesere kichwani mwangu.
Hii ya mfano wa Barbie, mweupe, macho ya samawati, nywele hadi mgongoni na mwembamba kaa njukuti naona mwanasesere feki, wa dunia ya Wazungu sio yangu 😀
Gaijin,
Wanasesere wamekuwa wanabadilika sana kutokana na kubadilika kwa dunia. Kwa mfano Barbie, sasa kuna Barbie mweusi na ukiwaangalia wote, wamekondeana na kubaki vifito tu maana dunia ya sasa wanatawala Mashoga na Mashoga hawapendi maumbo ya Kike (curves shape) na wanataka STRAIGHT kama umbo la Mwanaume.
Sijui kama unamkumbuka huyu ambaye ulikuwa unazungusha funguo na baadaye anaanza kucheza na kimziki kinapiga?
Ngoja nikuwekee Video ya Dolls wakifanya vitu vyao, hivi vimitambo sijui kama wanatengenza bado.
Enzi hizo wanasesere wanawakilisha uhalisia unaoweza kufikiwa na watu wengi, wakati sasa Barbie unaambiwa vipimo vyake ni unrealistic kutaka kuvifikia
Cheki toto hilo (huyu ndo kama nilokuwa nae, kasoro nywele tu za huyu "ndefu")
![]()