Mjue Pablo Picasso, Msanii aliyekua akitumia UUME wake kuchora picha!

Powder

JF-Expert Member
Jan 6, 2016
4,951
6,544
wp_ss_20160110_0021.png
Mimi ni Professional African painting artist, kuanzia Leo nitakua naleta Mfululizo wa Makala mbalimbali kuhusu fani hii ya Uchoraji, kuwafanya Watanzania waijue vyema Sanaa hii, ikibidi kuipa Support Kama ambavyo Wazungu hufanya!.........
Leo ninakuletea History fupi ya Msanii Mchoraji bora duniani, ambaye anasemwa hajawahi kutokea toka kizazi chake mpaka sasa............!

Anaitwa Pablo Picasso, japo majina yake kamili yanakaribia 20, kuokoa muda Na nafasi nimtambulishe Tu Kama Pablo Picasso, alizaliwa Mwaka 1881 October 25 huko Malaga-Spain, akiwa Ni mtoto WA kwanza kwenye familia ya Mzee Picasso, baba ake alikua Ni painting artist, alikua Ni Professor kwenye School of art huko Spain, Kama Wasanii wengi Picasso alizaliwa Na kipaji cha Uchoraji, ambapo baada ya masoko ya kawaida katika shule za awali hatimaye alijiunga na shule iliyokua chini ya Baba yake, alisoma kwa mwaka mmoja, baadaye akaenda Academy of art ambapo pia alisoma kwa mwaka mmoja, Mwaka 1901 aliamia Paris - Ufaransa ambapo harakati zake za Uchoraji zilianza kuota mizizi, akiwa Ufaransa aribuni style mpya ya Uchoraji inayoitwa SURREALISM art style, kutokea Ufaransa akaanza kuwa Maarufu Ulaya na America, ikampa fulsa ya kutembelea nchi mbalimbali.
Picasso baadaye akaanza kuchora kwa kutumia Uume wake, ambapo alikua akichora picha kwenye ukumbi ambapo watu walilipa kiingilio kwenda kumshuhudia Picasso akichora picha kwa style ya aina yake, watu walijaa ukumbini, Canvas na Rangi zimeandaliwa pale stejini, then Picasso angeingia akiwa uchi wa Mnyama na kuanza kuchora Picha zake kwa kutumia Uume wake, alipoulizwa kwa nini anapenda kutumia Uume wake kuchora badala ya brush? Alisema "Najisikia comfortable zaidi nikitumia uume wangu, nashangaa nakua mbunifu zaidi, hata ukiangalia picha nilizochora kwa kutumia Uume wangu, Ni nzuri kuliko nilizotumia Brush"
Picasso mpaka anafariki alikua amechora original paintings 13,500, Printings 100,000, Picasso ni mmoja kati Msanii ambaye picha zake zinauzwa Ghari sana, ambapo moja kati ya Picha zake zilizouzwa bei mbaya iliitwa BOY AND PIPE, iliuzwa $117.6 Millions (Zaidi ya 200 Billions Tanzanian Shillings) mwaka 2004, ambapo picha hiyo ilichorwa 1905, hiyo Picha Kama mwenye nayo akiamua kuiuza Leo, ataiuza kwa Mabillions ya pesa, hiyo Ni kazi yake moja Tu! Vipi thamani ya kazi zake zingine?....Picasso alikufa 1973 April 08, akiacha mke na watoto 4, wa Kike 2, wa kiume 2.....!

Huyo ndo Pablo Picasso japo kwa uchache, next time ntawaeleza namna ya biashara ya Paintings inavyofanyika huko Duniani, inavyowapa watu utajiri, na namna Msanii anavyotengezwa kuwa maarufu Ili watu wapige pesa.
 

Attachments

  • wp_ss_20160110_0016.png
    wp_ss_20160110_0016.png
    129.1 KB · Views: 107
  • wp_ss_20160110_0023.png
    wp_ss_20160110_0023.png
    143.2 KB · Views: 100
  • wp_ss_20160110_0017.png
    wp_ss_20160110_0017.png
    97.9 KB · Views: 78
Powder asante kwa habari hii. Umesema Picasso ndie nguli wa painters wote. Je, da Vinci?
Da Vinci aliishi karne ya 15, wote wawili wanatajwa Kama Wasanii bora kuwahi kuwepo, Picasso anatajwa zaidi kutokana Na thamani ya juu ya Mauzo ya kazi zake, kila Mtu alikua Na style yake, thamani ya picha za Picasso Ni kubwa kuliko Da Vinci, kumbuka kadri siku zinavyokwenda thamani ya picha inakwenda juu, kuwalinganisha Maghuri hawa Ni sawa Na ubishani WA Pele Na Maradona, mwisho WA siku Picasso anaonekana juu Sababu ya thamani ya kazi zake, Painting style, Na vituko vingi kwenye maisha yake!
 
Da Vinci aliishi karne ya 15, wote wawili wanatajwa Kama Wasanii bora kuwahi kuwepo, Picasso anatajwa zaidi kutokana Na thamani ya juu ya Mauzo ya kazi zake, kila Mtu alikua Na style yake, thamani ya picha za Picasso Ni kubwa kuliko Da Vinci, kumbuka kadri siku zinavyokwenda thamani ya picha inakwenda juu, kuwalinganisha Maghuri hawa Ni sawa Na ubishani WA Pele Na Maradona, mwisho WA siku Picasso anaonekana juu Sababu ya thamani ya kazi zake, Painting style, Na vituko vingi kwenye maisha yake!

Asante. Sasa Picasso alioshaje uume baada ya kua ameujaza rangirangi?
 
Na sasa wakati uume unachora ulikua kwenye hali gani ??? Yaani ni lazima awepo pia mwanamke uchi pembeni yake ila awe na hisia anapochora ???? Maana dushe bila kusimama sijui alichoraje
 
Na sasa wakati uume unachora ulikua kwenye hali gani ??? Yaani ni lazima awepo pia mwanamke uchi pembeni yake ila awe na hisia anapochora ???? Maana dushe bila kusimama sijui alichoraje
hapo sasa na mimi nasubili jibu
ni lazima udinde ndo achole au inakuwajee
 
Na sasa wakati uume unachora ulikua kwenye hali gani ??? Yaani ni lazima awepo pia mwanamke uchi pembeni yake ila awe na hisia anapochora ???? Maana dushe bila kusimama sijui alichoraje
Inasemwa alikua ameumbika sawasawa, alippkua anachora Wanawake Na Wanaume walikuwepo!
 
Sasa hiyp picha hapo ni yake au ni nani huyo? Mbona anaonekanaa kumchora Bush wakati bush hakuwepo enzi zake?
 
Na sasa wakati uume unachora ulikua kwenye hali gani ??? Yaani ni lazima awepo pia mwanamke uchi pembeni yake ila awe na hisia anapochora ???? Maana dushe bila kusimama sijui alichoraje
Bila kudinda ndo poa zaidi maana uume unakuwa flexible kama kichwa cha brashi kilivyo
 
Back
Top Bottom