kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,091
- 16,765
Achananeni na vipaji nendeni mkasomee kazi yenu. Kipaji kitakufanya upatie kidogo na kukosea sana kwenye kazi.
Tamthilia za waphilipino na wahindi kwenye luninga zetu zinatofautisha vipaji vyenu na taaluma yao kwenye uigizani.
Bora tuwe na wasanii wachache wenye taaluma kuliko wasanii wengi wanaobahatisha.
Tamthilia za waphilipino na wahindi kwenye luninga zetu zinatofautisha vipaji vyenu na taaluma yao kwenye uigizani.
Bora tuwe na wasanii wachache wenye taaluma kuliko wasanii wengi wanaobahatisha.