ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 947
- 545
Tupe Freestyle iwe ya Siasa,Mapenzi,Kutambiana,Majingambo N.K
wew vipi funguka kama mrisho mpotoNgoja waje
Sina kipaji cha free style ila kukaririsha ndo mwenyewewew vipi funguka kama mrisho mpoto
Yeah unajua kufloo ila mashahir afifu/Unakaza ila ngumu kufua Dafu.Nichek hata kwa phone,ukikosa loan/
Ntakuwekea bond,uishi ka mton
Hustle zna nafasi,God ana ana nafasi pia/
Yeye aliyeninyima ualimasi,akanipa nyota ya lupia/
Ya kutafutwa kila kona ,ka soko huria/
Ukishindwa simamia unachokiamini,mean -umekosa nia
Rappers weng mnauza sura,mi nauza floo/Yeah unajua kufloo ila mashahir afifu/Unakaza ila ngumu kufua Dafu.
Nakimbiza wananiita Chafu/Pumzi kali kwenye mapafu.
Nalisongesha bila ya hofu/Nasubir challanger kipofu.
Unaweza niita Rambo/ama kijana mmoja dolph.
Rhymes hazijaenda shule/njoo nikufundishe bure.Rappers weng mnauza sura,mi nauza floo/
Nna imadini mengi kwenye medula,mpaka naloose control
Siuziki ka kaptula,shimoni kariakoo/
Natisha ka jin kabula,vilaza nawakaba koo
Am monster rapper,I got magic rhymes/
zenye uwezo,wa kuhaririwa mpaka daily times
Front ndo ma name,sihiitaji scandal ni gain fame/
Mana the gas jina kubwa,lenye hadhi kila sehemu
watoto wa cku hiz, mnapenda mabifu,Yeah unajua kufloo ila mashahir afifu/Unakaza ila ngumu kufua Dafu.
Nakimbiza wananiita Chafu/Pumzi kali kwenye mapafu.
Nalisongesha bila ya hofu/Nasubir challanger kipofu.
Unaweza niita Rambo/ama kijana mmoja dolph.
Mim ni Mtu mbaya/sina mashair ya kwaya.Calm down underground/
Nawapga kwa knockout within a first round
Thamani ya muziki wangu ni dollar, ongeza na pound/
Malaya vaa della,nkumalize kwenye ground