godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Tukio la Mawaziri kuapishwa,nimekuta limeisha ila nimekuta ndo Mh.Rais anapiga nao picha,lakini katika niliowaona nimemuona Mzee wa siku nyingi sana aliyewahi kushika nyadhifa mbali mbali katika awamu zilizopita Mh Daniel Ole Njoolay safari hii sijui kala shavu gani.Mwenye taarifa tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app