Hiphop ya watengwa ni noma sana

Hiphop ya watengwa ni noma sana

Nabii kibonge

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
277
Reaction score
310
Japokuwa hiphop nimeanz kuifuatilia miaka si mingi sana ila nimekuja kuona kuna tofauti kubwa sana kati ya wasanii wetu wa sasa wanaojiita wanahiphop na wakongwe wenyewe wa utamaduni huu wa hiphop

Mziki walokuwa wanafanya hawa jamaa toka kundi la watengwa ni noma sana ukianz na mtu mzima wa ukisikia paah Jacob Makala pembeni mzee wa kitengi Chindo Man

Natamani sana ningekuwepo zama hizo hiphop imeenea imetamba, hiohop ya kufuata misingi na inayoelimisha na mziki usiotegemea kiki natamani sana zama hizo

Mtu mzima Chindo man nilibahatika kufaidi kipaji chake kwenye mdundo wa torati ya mtaa na ilikuwa ni torati kweli akiwemo mtu mzima fareed

Hiphop ya siku hizi utasikia msanii anaebamba et ndo anaimba mwajuma chautundu sijui wengine ndo kushndia kuimba wowowo dah had shida yan

Sanaa ya watengwa ni noma sana and they deserve kuitwa legends

wakuu eb tushushe nyimbo za watengwa apo tujikumbushie pia wengine tupate kuzijua
 
JCB ni mmoja kati ya ma mc wenye tungo za hovyo kuwahi kutokea...anavhoimba qnakijua mwenyewe, CHINDO aka jombi huyu anaistari mikali na staili kali ni MC mzuri
 
Watengwa ..karibu utengwani bro! Vionjo bado vipo vinaendelea kwa kasi sana.

Unajua hiphop sio hit songs ...ni punchline zinazotake time. Hivo chimbo zinahusika sana. Karibu!
 
JCB ni mmoja kati ya ma mc wenye tungo za hovyo kuwahi kutokea...anavhoimba qnakijua mwenyewe, CHINDO aka jombi huyu anaistari mikali na staili kali ni MC mzuri
Labda hujawahi kumuelewa mtu mzima JCB

Huo mtazamo ni wako.
 
"Nimetahiriwa nina kiburi mimi sio jaluo"......by chindo man
 
Watengwa ..karibu utengwani bro! Vionjo bado vipo vinaendelea kwa kasi sana.

Unajua hiphop sio hit songs ...ni punchline zinazotake time. Hivo chimbo zinahusika sana. Karibu!
watengwa noma sana hawa jamaa
 
Hip hop za joh makini ni shida eti.... Weusi wako poa sana. Joh makini is a king of rap in East Africa. [emoji23]
 
Johmakini wa sasa wa Madaraka ya kulevya ni pimbi tu

Joh wa enzi za Muda au stimu zimelipiwa nilikuwa namuelewa kinoma.
 
Nyie tajeni marapa wote mnaowajuwa ninyi ila watu waili tu watabaki katika misingi ya Hip Hopo ni 1. P THE Mc
2.SONGA.
 
Demu wangu hanipigii simu mpaka anisikie kwenye interviw.
Na ile ngoma ya Afande msela
 
watengwa ilipo bila donii isingekuepo,
mtoe Michael essien Chelsea iende na upepo,
jombii nyang'au namkubal sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom