Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ilikua siku mwanana wanafunzi walikua ukingoni kumaliza somo lao la siku hio ndio mwalimu akawagusia wanafunzi wake namna ya kumuona jini akiwa katika umbile la binaadam, inafahamika kwamba majini...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
UCHAMBUZI WA FILAMU πŸ“½πŸŽ¬ THE DA VINCI CODE (2006) -----‐----------------------------- Kwa desturi tunapotazama filamu yoyote ile, tunalenga kuziburudisha nafsi zetu. Sio kazi rahisi mtu akae chini...
3 Reactions
0 Replies
462 Views
DOSARI A Story by Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Uhalifu, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa R-rated 18+ Enjoy! β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…β˜… SEHEMU YA KWANZA...
4 Reactions
24 Replies
9K Views
πŸ“Œ Burudani bila kulipia? Ndiyo, inawezekana! Kwa mashabiki wa movies na series β€” kama wewe ni mpenda burudani lakini huwezi (au hutaki) kulipia Netflix, Showmax n.k., basi uzi huu ni kwa ajili...
8 Reactions
3 Replies
3K Views
CRAZY BUFFA FT ZAHARANI.. - MUELIMISHAJI.. Masela wote...!! kaeni chocho...!! Madawa ya kulevya haina ya faida kwako.. ebu sikiliza Eeeh.. huyu ni muelimishaji Eeeh Eeh..!!! Verse ..1. ( crazy...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Unatengeneza Roboti kwa ajili ya kusaidia kwenye kulinda nchi na ulimwengu, kisha anakusaliti na kutaka kuitawala Dunia je atafanikiwa movie yenye ukatili kinoma πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ https://youtu.be/DgxBGtYo1mI
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Habari za Jumatatu Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba nimekuwa nafuatilia tamthilia hii bila kufuata mtiririko. Ila siku za karibuni nimeifuatilia bila kupenda kwa kuwa nilikuwa nabembelezwa...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Hii Ndio Inaitwa hakuna jiwe litaachwa limesimama, kilichobaki labda Trailers Tu ! Ukiomba ushauri wa movies za genre unayoipenda unakuta kila movie ulishaivamia kitambo Hadi upate muvi mpya ni...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
WASIFU WA SAIDA KAROLI Jina Kamili: Saida Karoli Tarehe ya Kuzaliwa: 4 Aprili 1976 Mahali alikozaliwa: Kijiji cha Rwongwe, Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoa wa Kagera, Tanzania Lugha: Kihaya...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Comics za Charlie Chaplin zilikuwa zinachekesha sana. Kulikuwa na kamopuni ya film kutopka Uingereza iliyokuwa inaitwa Factory Films Limited ilikuwa na tawi lake Arusha na Nairobi, ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
257 Views
VERSE 1: Yoh, yoh, yoh Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo...
14 Reactions
63 Replies
3K Views
NIMEKUBALI Yanitesa abadani, Niliyo nayo moyoni, Naungulia kwa ndani, Rohoni nina huzuni, Faraja yangu siioni, Kufikia huku sikuwahi kudhani, Wanitesa kwa nini? Vanessa umebadilika sana, Wewe wa...
1 Reactions
0 Replies
251 Views
Je, 1. Ni ujuzi wa kupigana?!!! Kwahiyo mnataka kuniambia Angelina Jolie anapiga hatari, sio?!!! 2. Muonekano? 3. Utajiri Au nini'?!!! Msaada tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
295 Views
Habari zenu wakuu, yoyote mwenye kuwa na nyimbo hizi, wa Voice Wonder ft Banana Zorro ule unaitwa "mama yele" na wimbo wa zamani wa kundi la Wana Njenje unaitwa Maua naomba tafadhali ....
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Katibu mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania bwana Farid Kubanda maarufu kama Fid Q amesema ndani ya kipindi cha miaka 4, Rais samia ametoa Trilioni 13 kwa ajili ya maendeleo ya muziki na sanaa...
8 Reactions
56 Replies
2K Views
Hello shalom people of God, my name is John am 26 I live in Dar es salaam Tz, I'm a Gospel singer minister with a big vision to reach out nations with my music I believe through my music many...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Muvi hata isifiwe iwe kali kivipi nikishaona star ni mwanamke anaetembezea kipigo wanaume huwa sina time nayo kabisa. Kiuhalisia mwanamke mtu mzima mwenye miaka 28 anaweza kupigwa vizuri kabisa...
3 Reactions
18 Replies
613 Views
Nimetoka Dodoma hadi naingia Dar njia nzima namsikiliza Dogo Patel yaani jamani singeli tamu πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
3 Reactions
6 Replies
499 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…