Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa ambae hajui mkasa huu upo hivi: Team inayoshiriki ligi kuu ya uingereza cardiff city ilikubaliana transfer ya mchezaji wa nantes ya ufaransa Emiliano Sala. Mazungumzo yote yalikamilika mpaka...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale walowahi kuangalia kipindi cha straight talk Africa cha Shaka Ssali Ile soundtrack kipindi kinapoanza na kuisha ni ya nyimbo gani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukisikiliza hii nyimbo kuanzia mpangilio wa sauti, ala zake zilivyopigwa humo ndani,namna walivyokuwa wanapishana humo ndan Bob Marley na Lauryn Hill na namna mashairi yalivyopangiliwa humo ndani...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari ndugu kama kuna mtu anajua location sehem wanauza Cd movie or series latest hapa ambazo hazitafsiriwa na hawa madj kwa hapa dar es salaam Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni movie iliyozinduliwa september mwaka huu ikiwa na maudhui na muendelezo wa Conjuring, kama wewe ni muoga kaa mbali.
4 Reactions
218 Replies
41K Views
Habari wakuu, Nasikitika kusema kwamba BIKO SPORTS HAWAKO FAIR. Mtu akijisajili kwao hakuna namna ya ku unsubscribe kupata notifications pale kwenye website yao. Wamekuwa wanatuma sana message...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Kwa wale wapenzi wa salsa tukumbushane enzi za hawa jamaa.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ukisikiliza mziki wa Lucky Dube vizuri utagundua kamshinda Bob Marley kwa vitu vingi,sauti,beats,ingawa kiujumbe wanafanana,ila mziki wa Lucky Dube unavutia zaidi ukisikiliza. Nadhani Bob Marley...
12 Reactions
132 Replies
33K Views
NILIOLEWA NA JINI BILA YA KUTARAJIA 1: Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku. Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam...
1 Reactions
8 Replies
58K Views
Wakuu....ni channel gani ya startimes unaipenda? mimi naipenda sana st plus (startimes plus nambari 119) Hata wakiondoa channels zote hii wakiiacha sina tatizo.......naipenda sn maana ni series...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Mtunzi Juma hiza 01 Suzani alikuwa amejifungia chumbani kwake, wakati huo alikuwa akilia kwa uchungu. Hakutaka kuamini kile kilichokuwa kimetokea katika maisha yake.Mkononi mwake...
9 Reactions
92 Replies
11K Views
Tunalipia pesa nyingi ila tunaona channel chache,kwanini hamtaki kufanya utaratibu wa kuturudishia channel za nyumbani na pia muongeze channel za movie,music,wrestling badilikeni Sent using Jamii...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hizi movie 1.avengers infinity war 2018 2.captain america the winter soldier Zimenivutia sana kama nyingne unafaham yenye maudhui kama yaliopo kweny movie hizo bandika hapa.
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Msanii pendwa wa muziki aina ya afro pop toka pande za Naija Timaya ametuletea ngoma mpya akiwa amemshirikisha Kingkiba ngoma inaitwa Number one inapatikana kwenye EP inayoitwa Chulo vibes hapa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Tumechelewa lakini bado hatujachelewa, mambo yanazini kunoga Otoman Empire, Basi hii ni Thread yetu maalum wa kupashana kinachoendelea kwenye Tamthilia hii inayorushwa na kituo cha Azam media kila...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Hebu tujikumbushe The way Back, music ulipokuwa ukibamba na watu kuuza kazi zao.
1 Reactions
29 Replies
13K Views
1. Jack Ryan > Kuipata nenda google andika Jack Ryan season 1 index (ukitumia operamin ni rahisi zaidi) 2. Ghoul > Kuipata nenda google andika Ghoul season 1 index (operamini ni rahisi zaidi) 3...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Naomba kujuzwa mahali ilipo WASAFI FM hapa dar, nackia ipo mbezi beach ila sijajua mbezi sehemu gani Nahitaji nipeleke ngoma yangu pale. Thanks
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu wimbo ameutoa siku kama sita zilizopita , full kumsifia mwanaume anayemkuna sawa sawa.. Wangapi wamemwelewa huyu kwenye hii staili mpya anayoimba Wimbo Huo Huu Hapa:
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…