Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Washabiki wa mieleka leo kuna mapambano ya wrestlemania nawakumbusha tu mdau mwenzangu.DSTV Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa stahili hii bado Man U mnamuenzi Jose kwa kupaki basi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
657 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JAMANI NDUGU ZANGU NAULIZA KAMA NATAKA KUPATA KAZI KWENYE HAYA MAGARI YA IT (YANI KUSAFARISHA MAGARI MADOGO KUTOKA KWENYE KAMPUNI ZA CLEARING AND FORWARDING)NAFANYAJE?? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
1 Replies
536 Views
Habari zenu wana jamvi, Kwa yeyote anayejua majina ya movies hasa za kuhusu africa(za kivita au mapinduzi) naomba anisaidie tafadhali. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa anaejua series ya vikings imeishia season ngapi
0 Reactions
3 Replies
871 Views
[Verse 1] (RAYAKO) Mrembo mwenye haiba usoni, Uzuri usio na kifani, Sauti yake ringtone, Haiwezi ntoa mchezoni, kinanda, sauti yake minor ikipanda, kwako nimeshafika...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
JF Members naomba kwa anayefahamu filamu za kijasusi (undercover movies) anitajie ili niweze kuzitafuta, ni mpenzi sana wa hizi filamu
1 Reactions
80 Replies
20K Views
Unaemuona Pichani Hapo chini ndiye Richard I Aliyekuwa Mfalme wa Uingereza Kati ya Mwaka 1189 - 1199, Inaelezwa Kwamba Alikua na Chembechembe za Ushoga! (Bila Shaka Sura yake Hapo Juu...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Basi la shetani: SEHEMU YA-01 Ulikua usiku wa kiza kinene katika jiji la Dar es salam, kutokana na uchache wa magari barabarani basi yale machache yaliendeshwa kwa kasi. “Tumuache hapa hapa”...
9 Reactions
139 Replies
31K Views
NISAMEHE GRACE-01 Anza nayo.. “Grace Sebastian ni msichana aliyetokea kunipenda sana tokea siku ya kwanza nilipoonana nae chuoni kila mara nilipokua nikikutana nae hakuchoka kunitamkia wazi...
3 Reactions
38 Replies
10K Views
Baby I know the story I've seen the picture It's written all over your face Tell me, what's the secret That you've been hiding And who's gonna take my place I should've seen it comin' I should've...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni hivi, kama wanamuziki wa wasafi wanapitia humu naomba wabadilike kama wanataka kuendelea kushindana katika nyanja za muziki. Hawa jamaa wamekuwa wakijaribu kuimba live katika show zao za hivi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mdada ambaye hajui mapenzi Ili nifundishane nae sabb hata mie sijui Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
643 Views
Ni website gani naweza kupakua album za wasanii mbalimbali *free download Lakin Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
661 Views
Ziwa Hili lipo Kusini Magharibi Mwa Jamhuri ya Dominica KM.10.5 Nje Kidogo ya Mji wa Roseau.. Lipo Ndani ya Hifadhi ya 'Morne Trois Pitons National Park'. Ziwa Hili Lipo Tangu Miaka ya 1800 na...
6 Reactions
15 Replies
3K Views
Iko wpi ile kampuni ya Marcon Kits ambayo inasemakana iliingia mkataba na Yanga wa kutengeneza vifaa vya michezo kwa thamani ya milioni 932 kwa mwaka? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
464 Views
Wale wapenzi wa GOT the waiting is over, Bado siku saba tu Jon snow atakufa kwa mara ya pili na yamwisho Nini matarajio yako?
0 Reactions
35 Replies
3K Views
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI. SIMU: 0718 069 269. MAHALI: DAR ES SALAAM KAHABA KUTOKA CHINA 1 ‘Nisikilize Rose. Unataka niseme nini ili ujue kwamba nakupenda? Unataka nifanye nini ili ujue...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…