Game Of Thrones grande finale

Game Of Thrones grande finale

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
8,573
Reaction score
14,176
Wale wapenzi wa GOT the waiting is over,
Bado siku saba tu

Jon snow atakufa kwa mara ya pili na yamwisho

Nini matarajio yako?
FB_IMG_1554621663950.jpeg
 
Daa nataman sana nipate mda wa kuifuatilia hii series, inasifiwa mpk naitaman yan, kuna kipind niliangaliaga nusu epsode kwanye season one sikuielewa elewa nikakausha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa nataman sana nipate mda wa kuifuatilia hii series, inasifiwa mpk naitaman yan, kuna kipind niliangaliaga nusu epsode kwanye season one sikuielewa elewa nikakausha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo sio rahisi kuielewa. Hata na mimi sikuielewa mambo ya king au queen zilikuwa sio series zangu. Ila baadae nilipoielewa niliipenda. Mwanzo ukiangalia unaona kama boring fulani hivi
 
Kibongo bongo wengi tulizoea kuangalia series za kimjini mjini na kisasa zenye mateknolojia nk
Hata mimi niliangalia episode ya kwanza sikuelewa nikaipotezea
Nilipopata muda nikairudia with english subtitles
Daah bonge moja la series, hapa naona kama siku 7 mbali jinsi nilivyo miss vituko na vitimbwi
 
Au asikae yoyote kwenye iron throne

Sent using Uncesored Device
Kuna teaser ya mwisho HBO wameitoa wadadafuzi wanatafsiri kama whaite walker atashinda na kuua wote
 
Hivi dstv channel gani wanarusha ili nikae mkao wakula

Sent using Jamii Forums mobile app
Owner wa Game of Thrones ni HBO, kama unapata HBO iwe through netflix au popote pale utaona, unless otherwise ni mwendo wa wizi tu na piracy... na hapo ni pengi tu ma torrent au streaming website ni za kumwaga
 
Mwanzo sio rahisi kuielewa. Hata na mimi sikuielewa mambo ya king au queen zilikuwa sio series zangu. Ila baadae nilipoielewa niliipenda. Mwanzo ukiangalia unaona kama boring fulani hivi
Niliichek mwanzo kabisa mkuu, mara mtu anakimbizwa, mara wanakutana na maiti zimelala, mara anakamatwa na kukatwa shingo kwenye gogo daa nikaachia hpo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom