Never Give up by Harmonize

Never Give up by Harmonize

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,171
Reaction score
43,961
Harmonize katoa wimbo mzuri sana aisee...yani daah Inspiration song kalii kuliko kawaidaa Kweli Diamond lazima amuogope japo ni Kinyago alichokichonga mwenyewe lakini duuh... WCB for life..Isikilize hapaa..

USIKATE TAMAAA..!

 
Harmonize katoa wimbo mzuri sana aisee...yani daah Inspiration song kalii kuliko kawaidaa Kweli Diamond lazima amuogope japo ni Kinyago alichokichonga mwenyewe lakini duuh... WCB for life..Isikilize hapaa..

USIKATE TAMAAA..!

Diamond hana roho hiyo ya kimasikini na ndio maana kaanzisha lebo mafanikio ya Harmonize kwake inakuza lebo yake na kipato chake .Kama angekuwa na umimi hata hiyo lebo asingeanzisha.

Ila ninachofurahi comparison sasa hivi ni Mondi na Harmonize,ila mda si mrefu itahamia Mondi na Rayvanny au Mond na Mbosso .
 
Ngoma kali sanaaa ...hakunaga tena ngoma kama hizo bongo f... Sio cha nyegezi wala Tetema kama jeneleta
 
Hivi watanzania kwa nini tunapenda kuwagombanisha wasanii wetu kwa kutaka kumpandisha na huyu na kumshusha yule.

Tutapungukiwa nini endapo tutakuwa na idadi kubwa ya wasanii wenye mafanikio ?

Haters mlianza kumshindanisha Diamond na Ali Kiba. Mkaona haitoshi na juhudi ni fruitless , sasa mmehamia kwa Diamond na Kondeboy.

My take: Wivu na chuki vikidhidi unapata ofa ya moja kwa moja ya kuwa mchawi.
 
Inabdi urekodi yako yenye kiwango
Huitaji kuwa mpishi kusema chakula hiki hakiko sawa. Mziki anaimbia watu wasiokuwa wanamziki ndiyo wasikilize sihitaji kuwa mwanamziki kusema hapa hapana. SImchukii na nakubari nyimbo zake ila huu uko chini ya kiwango interms of production hasa upande wa amstering. Hilo siyo kosa lake ni kosa la producer nadhani.
 
Hivi kwenye hiyo video katika kile kipande kinachowahusu BSS kwa mfano wakikitazama kwa wakati huu wanajisikiaje
Mtu waliyempondea anawapita mafanikio kila leo
Kwa alivyoimba pale wewe ungekua judge ungefanya je tofauti na kuponda?
 
Diamond hana roho hiyo ya kimasikini na ndio maana kaanzisha lebo mafanikio ya Harmonize kwake inakuza lebo yake na kipato chake .Kama angekuwa na umimi hata hiyo lebo asingeanzisha.
Ila ninachofurahi comparison sasa hivi ni Mondi na Harmonize,ila mda si mrefu itahamia Mondi na Rayvanny au Mond na Mbosso .
Nakubali mzazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom