Diamond hana roho hiyo ya kimasikini na ndio maana kaanzisha lebo mafanikio ya Harmonize kwake inakuza lebo yake na kipato chake .Kama angekuwa na umimi hata hiyo lebo asingeanzisha.Harmonize katoa wimbo mzuri sana aisee...yani daah Inspiration song kalii kuliko kawaidaaKweli Diamond lazima amuogope japo ni Kinyago alichokichonga mwenyewe lakini duuh... WCB for life..Isikilize hapaa..
USIKATE TAMAAA..!
Toa yako Zumbukuku weweNimeuskia lakini quality yake iko chini ya kiwango
Tatizo siyo kutoa yangu ukweli ni ukweli tu ule wimbo production yake ni poor, mastering yake iko chini ya kiwango. Huitaji kuwa mpishi kusema hiki chakula hakijakidhi kiwangoToa yako Zumbukuku wewe
Huitaji kuwa mpishi kusema chakula hiki hakiko sawa. Mziki anaimbia watu wasiokuwa wanamziki ndiyo wasikilize sihitaji kuwa mwanamziki kusema hapa hapana. SImchukii na nakubari nyimbo zake ila huu uko chini ya kiwango interms of production hasa upande wa amstering. Hilo siyo kosa lake ni kosa la producer nadhani.Inabdi urekodi yako yenye kiwango
Hivi kwenye hiyo video katika kile kipande kinachowahusu BSS kwa mfano wakikitazama kwa wakati huu wanajisikiajeHarmonize katoa wimbo mzuri sana aisee...yani daah Inspiration song kalii kuliko kawaidaaKweli Diamond lazima amuogope japo ni Kinyago alichokichonga mwenyewe lakini duuh... WCB for life..Isikilize hapaa..
USIKATE TAMAAA..!
Kwa alivyoimba pale wewe ungekua judge ungefanya je tofauti na kuponda?Hivi kwenye hiyo video katika kile kipande kinachowahusu BSS kwa mfano wakikitazama kwa wakati huu wanajisikiaje
Mtu waliyempondea anawapita mafanikio kila leo
Kitu gani kilikuwa kibayaKwa alivyoimba pale wewe ungekua judge ungefanya je tofauti na kuponda?
Kasema alivyoimbaKitu gani kilikuwa kibaya
Nakubali mzaziDiamond hana roho hiyo ya kimasikini na ndio maana kaanzisha lebo mafanikio ya Harmonize kwake inakuza lebo yake na kipato chake .Kama angekuwa na umimi hata hiyo lebo asingeanzisha.
Ila ninachofurahi comparison sasa hivi ni Mondi na Harmonize,ila mda si mrefu itahamia Mondi na Rayvanny au Mond na Mbosso .
Huyu Jamaa anajua sana pale WCB huyu Jamaa akitulia ndio hutoa song unaelewa kabisa ujumbe ni Nini!!!
Nimeuskia lakini quality yake iko chini ya kiwango
Toa yako Zumbukuku wewe