Wakuu habari, naomba niruke jumla jumla.
Naomba kufafanuliwa wakati ukipigwa mziki kuna vyombo hutumika kuupiga huo mziki, mfano kuna ngoma au drum, kuna gitaa, kuna kinanda, kuna tarumbeta, kuna...
Kuna hichi kipindi cha star tv kinaitwa kibarazani kinakuwepo kila siku mida ya saa 9 mchana nikizuri na mada zake ni nzuri kunakuwa na wachambuzi ila tatizo ni mda uliwekwa ni mbaya nimekuwa...
Habari za wakati huu wapendwa?
Mnamo mwaka 2015 nilikua mfuatiliaji mzuri sana wa tamthlia moja ilikua inarushwa na kituo cha television cha TV1tanzania inaitwa EZEL ni ya waturuki kwa kweli hii...
Mbishe zinasonga Hopefull.
Kwa sie wahenga ingawa sio zamani sana
Walipotelea wapi hawa wachora katoon na katuni zao memkumbuka sana mshkaji wangu pampula na mdogo ake hampula
sijamsahau...
Naomba uliza East Africa Got Talent inakuja hv majaji ndo hawa akina Salama Jabir ,Rita Paulsen,Masoud Masoud,Mastet J au
Mana isije ikawa mambo ya Bongo Star search mshriki kutupiwa neno lolote...
Kwa wale wafuatiliaji wa tamthilia kabambe ukanda wa maziwa makuu ya Sultan inayorushwa kupitia luninga ya Azam two, bila Shaka wanamfahamu mrembo aitwaye Hurrem Sultana ambaye ni mke wa Sultan...
Siku zote mtu uanza kwa kupima bila kujali atafanikisha au la ongera mr Carter kwa kufika apo ulipo unastahili ongera yani mziki umekufanya uwe tajiri akika ww icon wa mziki
Kama mnavyojua kesho ndo sikuku yenyewe na akili imeanza kujiweka kusheherekea sikuku yenyewe, kwa ambao mmewahi kwenda kati ya hizi beach sun rise; kijiji beach, barracuda; villa & south beach ni...
NYEMO CHILONGANI.
UTAJIRI WENYE UCHUNGU.
Sehemu ya Kwanza.
“All people who live at the beach have to leave immediately because tsunami will come. Once you hear this announcement, tell your...
*Guys i got your all support, Naitwa Misha ni Msanii wa RNB na Pop, naomba upate muda kuisikiliza nyimbo yangu io inaitwa NIJARIBU TENA*, pia ntashukuru sana kama ukiweza kuishare io Link, kulike...
RIWAYA: MASHARIKI YA MBALI
KALAMU YA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA.
Hekaheka zilizoanza takribani majuma mawili na nusu nyuma, zilikuwa zimechochea moto katika siku hii. Ikiwa ni siku...