McDonath
Senior Member
- Jan 2, 2018
- 110
- 105
Habari za wakati huu wapendwa?
Mnamo mwaka 2015 nilikua mfuatiliaji mzuri sana wa tamthlia moja ilikua inarushwa na kituo cha television cha TV1tanzania inaitwa EZEL ni ya waturuki kwa kweli hii ilikua bonge moja la series la kulifuatilia kwenye Television
Kwa anayejua jinsi ya kuidownload mitandaoni anisaidie maana nimejaribu sana kutafuta lakini imeshindikana kama kuna mtu anajua chimbo Konki la kushusha hivi vitu naomba msaada waungwana
Mnamo mwaka 2015 nilikua mfuatiliaji mzuri sana wa tamthlia moja ilikua inarushwa na kituo cha television cha TV1tanzania inaitwa EZEL ni ya waturuki kwa kweli hii ilikua bonge moja la series la kulifuatilia kwenye Television
Kwa anayejua jinsi ya kuidownload mitandaoni anisaidie maana nimejaribu sana kutafuta lakini imeshindikana kama kuna mtu anajua chimbo Konki la kushusha hivi vitu naomba msaada waungwana