Star tv mfanye mabadiliko hivi vipindi

Star tv mfanye mabadiliko hivi vipindi

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,383
Reaction score
7,977
Kuna hichi kipindi cha star tv kinaitwa kibarazani kinakuwepo kila siku mida ya saa 9 mchana nikizuri na mada zake ni nzuri kunakuwa na wachambuzi ila tatizo ni mda uliwekwa ni mbaya nimekuwa nafatilia siku chache napopata mda ingekuwa vizuri mngekiweka mida ya saa 1 usiku kila siku kabla ya taarifa ya habari japo kuna kipindi cha yule jamaa wa kipindi cha kipaza sauti huyu nae kipindi chake kingekuwa kinarushwa siku moja kwa wiki mana naona kinamtesa sana kuzunguka kila siku mitaani
 
Ndiyo kazi yake mkuu, lazima azunguke huko na huko kutimiza wajibu
 
Back
Top Bottom