Wakuu hebu tueleweshane hapa, ni kipi huchezwa kwenye mziki?

Yuyo Ahumile Shamalendi

JF-Expert Member
Mar 10, 2018
993
782
Wakuu habari, naomba niruke jumla jumla.

Naomba kufafanuliwa wakati ukipigwa mziki kuna vyombo hutumika kuupiga huo mziki, mfano kuna ngoma au drum, kuna gitaa, kuna kinanda, kuna tarumbeta, kuna filimbi, kuna vitu vingine vingi vinavyohusika kwenye huo mziki.

Naombeni ufafanuzi wenu ni chombo kipi kinachochochea mtu kucheza mziki?
 
Kwa mtazamo wangu mdogo hua naona kama ngoma ndo kishawishi kikubwa vile, mfano likipigwa lile limdundo la ngoma kubwa unakuta watu wanacheza kufuatisha ule mdundo, ingawa siyo miziki yote.
 
Mziki ni muunganiko wa sauti zinazotoka kwenye ala hizo ulizozitaja.

Hivyo mtu hucheza mziki na sio tone ya ala moja. Ikipigwa piano plain utacheza nini.

Pia mpangilio wa ala ndio hunogesha mziki, ila basi kuna baadhi ya miziki tunacheza kala kakikolombwezo ka ala ila lazima kawe kana muungano na ala nyingine.

Nakuunga wazo, hapo kama hataelewa basi na asiendelee kwenda au kusikiliza muziki.
 
Back
Top Bottom