Wapenzi wa katuni za magazeti tukutane hapa

Wapenzi wa katuni za magazeti tukutane hapa

xng hua

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2016
Posts
3,301
Reaction score
5,379
Mbishe zinasonga Hopefull.
Kwa sie wahenga ingawa sio zamani sana

Walipotelea wapi hawa wachora katoon na katuni zao memkumbuka sana mshkaji wangu pampula na mdogo ake hampula
sijamsahau professor ndumilakuwili

Harakati za pimbi huyu yeye hajawah kubandua dem kuanzia namsoma
ziko nyingi na sio vibaya kukumbushana visa

:NB.... Pia ngependa kutoa ushauri kwa wamiliki wa izo katuni kutafuta platform nyingine ili kuwafikia watu wengi mostly enternet na wanaeza kutengeneza pesa nzuri tuu

Niko na baba ubaya hapa naona anafanyia kifaru chake service sjui nan kamuudhi [emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba kuwasilisha
 
Visa vya madenge,Lodi lofa,kifimbo cheza.
 
Namtafuta BI MKORA na wale mapacha SUNCHE na KAPETO bila kumsahau BABA NDUBWI
 
Back
Top Bottom