Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tuimbe sote, hii hapa video
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wanaJF leo August 13 ni siku ya kuzaliwa wa mwanamuziki Fid Q basi jamaa ameamua kuachia wimbo mpya unaoitwa "Bongo Hip Hop" ukipata nafasi itafute jamaa amechana kwa kiwango ba Majani...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mashabiki wa burudani bongo,hapa mnasrmaje? wamepatia au chenga?
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi ni mshabiki wake lakini jamaa haeleweki kuwa kaacha mziki au bado anaimba. Inshort ni mvivu na hajitumi kazi kulialia tu kuwa anafanyiwa fitina na ngoma zenyewe anazotoa hazionekani yani yupo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Za chini chini ya carpet ni kwamba ma presenter wafuatao soon wanakuwa ndani ya Wasafi FM na Wasafi TV 1. Meena Ally 2. Dina Marious 3. Dullah Ambua 4. Perfect Crispin 5. Barbara Hassani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
New katun in town
1 Reactions
2 Replies
590 Views
Baada ya kuona harmonize kaiteka social media na uno, kama kawaida yao wakaenda mbembeleza Iyobo na Aunty warudiani ili kubadili upepo katika social media. Sasa ukiwa mhasimu wao nikuandaa kiki...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa aina hii ya muziki msaada tafadhali mwenye access ya hii nyimbo, ni naikubali sana kila mahali ninapojaribu kuitafuta ni kama vile wameifuta au kuiblock.. Msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NI SHIIDA! "Ha! Ha! Ha! Huyo binti yako anaitwa nani?" "Ah! Achana naye, naona hasira hata kulitaja jina lake," alisema mama Juliana huku akionesha hasira za waziwazi kwa binti yake huyo. Muda...
11 Reactions
256 Replies
176K Views
Alikiba kiukweli lazima awe na stress za hali ya juu maana ameshtuka toka usingizini amekuta he is not a King anymore yaani kijana Mondi atamuua kwa stress aisee. Ingekuwa kimarekani hawa jamaa...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Binafsi si mpenzi sana wa vipindi vya michezo ya kuigiza vya Tanzania. Nlijaribu miaka flan nikaona vimepoteza uelekeo na asilimia 85 hawajui kuigiza. Wanafanya mambo ya kitoto sana, michezo...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Mtunzi Ally Katalambula Sehemu ya 01 Jina langu naitwa Sofia ni mama wa mtoto mmoja. Katika familia yetu, mimi ni mtoto wa kwanza kati ya watatu, wadogo zangu wawili wote wakiwa ni wavulana...
12 Reactions
202 Replies
45K Views
Kama umeukubali wimbo wa UNO sema #KondeGangForEveryBody Huu ndio wimbo mpya wa Taifa
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Ulimwengu wa entertainment (burudani) unaenda kasi sana, vitu vinabadilika kila leo, level ya ushindani imekuwa kubwa pia, mbali na kushuhudia hamahama ya watangazaji kutoka Media House Moja...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
MTOTO WA MWENYE NYUMBA-01 (simulizi fupi ya kusisimua) ROBIN MIHO 0776741545 Ilikuwa ni saa kumi jioni James alipowasili nyumbani,Vikindu sokoni wilaya ya Mkuranga akitokea katika kibarua cha...
4 Reactions
13 Replies
23K Views
Video mpya ya Nash MC anauliza unaenda kama nani...?
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Are there any songs that ease the sting of a break-up? Or any songs that make you think "yeah, THEY totally screwed up?" Or any songs that make you sob uncontrollably for the one who got away...
0 Reactions
83 Replies
15K Views
Baada ya Salaam, Nauliza tu, hivi, Neema wa kwanza Unit yuko wapi? Anafanya nini siku hizi. Wakongwe wenzangu watanielewa. D
3 Reactions
22 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…