yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,226
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo.
Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka sasa.
Japo wote walifanya vizuri, lakini kimizania unafikiri nani anaweza kumzidi mwenzake?
Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka sasa.
Japo wote walifanya vizuri, lakini kimizania unafikiri nani anaweza kumzidi mwenzake?