Nazungumzia magoma yaliyolitingisha bibaya sana bara la Africa kwa mwaka 2022, dude sio lazima liwe limeshuka 2022 lakini kwenye iwe harusi, Kipaimara, birthday hata club hukosi kulisikia...
[emoji682][emoji682][emoji682][emoji682][emoji682][emoji682][emoji682]
Sehemu Ya Kwanza (1)
Ilikuwa ni siku ya jumamosi majira ya saa kumi kamili za jioni, hali ya hewa ilikuwa ni ya mvua...
Nipo mahali hapa, wimbo wa Jay Melody Nakupenda unapigwa.
Hii imenisukuma niandike chochote, hakika kutoka ni suala la muda tu. Huyu dogo wakati anaanza nilikuwa namuona anapoteza muda tu, lakini...
Kwa wale waliowahi kutazama series ya Jumong hii ni sound track number 7, ni moja ya soundtrack kali wabongo wameicopy na kuitumia kwenye movie nyingi sana
Kwa waliotazama series ya Spartacus...
HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA.
Chapter 1
Kama miezi miwili hivi iliyopita nilikuwa zangu katika mihangaiko yangu nje ya jiji la mbeya.
Usiku mmoja majira ya saa nne na nusu nikiwa chumba cha...
Binafsi ni mpenzi wa muziki especially Hip Hop that doesn't mean I don't listen to other kind of music. Muziki wowote mzuri mi nasikiliza nyuma nilikuwa napata shida kusikiliza muziki wa taarabu...
Hizi hapa ndo tano bora za mziki wa taarab
1.Siwaguni siwakohoi=Fatma mcharuko ndani ya YAH TMK MODERN TAARAB
2.Kibaya kina mwenyewe= Aisha vuvuzela ndani ya YAH TEMEKE MODERN TAARAB
3.Nataka...
Wanasema waswahili kizuri ni kizuri tu
Hii ndo nyimbo bora kabisa kaimba bi mwanahawa ally
Kwa sasa imekua ni ngumu mno kupata nyimbo zenye flavour adhimu ya taarab hususan kileo ambapo...
Habari
Sitaki kukuchosha msomaji now days hakuna sehemu unaweza enda ukapata taarabu nzuri ukasikiliza mpka mawazo yakapotea enzi zile ukiwa na stress za mapenzi unasikia wimbo njiwa peleka...
Habari!
Mwaka jana nilizungumza kitu kuhusu hawa comedians jinsi wanavyotisha. Wachekeshaji wetu waache kupoteza muda kuropoka.
Mimi wachekeshaji wetu wanabiboa, kazi yao ni kuropoka majukwaani...
Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx na...
Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania...
ROUND 1: HIT 'EM UP.
"Hit 'Em Up" ni wimbo wa kunangana uliotungwa na Tupac Shakur, akishirikiana na kundi lake la rap la Outlawz. Wimbo ni wa upande wa pili wa single ya mwaka wa 1996, "How Do U...
Binafsi niseme tu hawa waheshimiwa Tx-Moshi, Mzee Gurumo, Mbwembwe, Mzee Mabera, Mahina, Momba na wengine ambao sikuwataja na bendi zao walifanya kazi kubwa kwani mziki wao bado unaishi kwa...
SSERIES NZURI ZA 2022 -
1. House of the Dragon Season 1
2. Better Call Saul Season 6
3. Andor Season 1
4. The Boys Season 3
5. Ozark Season 4
6. Top Boy Season 4
7. Obi-Wan Kenobi Season 1
8. Tom...