Taarabu yenye Radha nzuri imepotea

Taarabu yenye Radha nzuri imepotea

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,897
Reaction score
67,394
Habari

Sitaki kukuchosha msomaji now days hakuna sehemu unaweza enda ukapata taarabu nzuri ukasikiliza mpka mawazo yakapotea enzi zile ukiwa na stress za mapenzi unasikia wimbo njiwa peleka salamuu.......

Now days ovyo ovyo yaani waandaaji wa muziki uhu wanatakiwa kuludi kule kwa zama zile za kijago Cha mpapule
 
Habari

Sitaki kukuchosha msomaji now days hakuna sehemu unaweza enda ukapata taarabu nzuri ukasikiliza mpka mawazo yakapotea enzi zile ukiwa na stress za mapenzi unasikia wimbo njiwa peleka salamuu.......

Now days ovyo ovyo yaani waandaaji wa muziki uhu wanatakiwa kuludi kule kwa zama zile za kijago Cha mpapule
Tarabu nzr zimebaki Zanzibar,,
wakija huku bara wanatupigia tarabu rhumba'

Ni vurugu tupu
 
Ngoja kwanza.
Kumbe leo hii kuna wanaume wanasikiliza taarabu kabisa? hii ni mpya kwangu.

Nilijuaga kinamama wa zamani ndio wanasikiliza taarabu na wale wazee wa zamani wanasikiliza rumba, msondo na bolingo.
The world is changing very fast, soon we'll drift out of son's orbit.
 
Habari

Sitaki kukuchosha msomaji now days hakuna sehemu unaweza enda ukapata taarabu nzuri ukasikiliza mpka mawazo yakapotea enzi zile ukiwa na stress za mapenzi unasikia wimbo njiwa peleka salamuu.......

Now days ovyo ovyo yaani waandaaji wa muziki uhu wanatakiwa kuludi kule kwa zama zile za kijago Cha mpapule
Lango la jiji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom