Kuna mipango kabambe inaandaliwa ya kufanya beach party kubwa sana ya kushangilia ushindi dhidi ya Corona Jumapili na kuna tetesi Diamond platnumz akaongoza shamra shamra hizo, hii imekaaje?
HEKAHEKA!
Na Bishop Hiluka
0685666964
Dondoo:
Wanamwita “Gaidi Mstaarabu” kwa kuwa ni mpole, mcheshi na mstaarabu sana! Mafunzo ya kijajusi aliyoyapata katika nchi za Israel na Libya yamemfanya...
Habari zenu wakuu! Naomba nisiwachoshe wanaJF....
Shida yangu nilikua ninaomba msaada wa kupata nyimbo kali za kuparty (kubang) ziwe za Bongo Flavour,Amapiano,mamtoni,afro-beats n.k
Yaani ziwe...
Mawazo yamenijia leo aliokuwa mzee wangu akisema dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti.
Ukitaka kuishi vema fikiri kabla ya kujibu jifunze kwa walimwengu walimwengu wajifunze kwako...
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bwana Haji Janabi (kushoto) akiongea na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi kutoka Tanzania na Afrika Kusini katika kikao awali kufikia kwa maandalizi ya Tamasha la Msimu...
Wimbo wa Shakira kuhusu mpenzi wake wa zamani Gerard Pique kwa kumdanganya umevunja rekodi ya kutazamwa zaidi kupitia YouTube.
Video ya Out of Your League imetazamwa zaidi ya mara milioni 63...
Wanajamvi, "Mke na mume wakipigana, wewe shika jembe ukalime":
Baada ya kimgogoro kidogo, Sony na marvel wametangaza biashara kati yao inaendelea. Hiyo inamaanisha Spider Man anabaki Marvel...
Gwala kwa wana Jf wote, naamini bado tunaendelea kupambana na maisha.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nyimbo nyingi kutoka Afrika Magharibi zinaandaliwa kwa ubora mkubwa...
Naifikiria miaka mia moja ijayo, au labda mia mbili au mia tatu!! Ni nini itakuwa hatma ya dunia? mbari ya binadamu (human race) itaendelea kutawala?
Mpaka kufikia siku ya leo, Tarehe 13 March...
chunga moyo ,,moyo unataka vingi tena utosheki huu moyo kwa tamaa ya moyo kunganga na shilingi.......
Tena utosheki huu moyo ikiibidi kupambana vyovyote ili tupate kurumbanarumbana SI vyema...
Unaitwa "Tizita" na ameimba mwanamama anaitwa Aster Aweke. Naupenda sana kwenye melody yake na unanipaisha sana. Sasa usijekuta anazungumzia kilimo au baa la njaa huko kwao nami naweka fantasy...
Wadau habari.Kuna ngoma YA zamani sana aliimba Bugz Malone na D Rob.Bugz alikuwa anachana kingereza D Rob alipita na chorus YA kiswahili.Ngoma hii naitafuta sana,mwenye nayo afanye kushare
Silimulizi : Msako Wa Mwanaharamu
Sehemu Ya Kwanza (1)
Katika Pori fulani huko BAGAMOYO
PORI LILIONEKANA TUPU, hakukuwa na kipya zaidi ya miti ileile ya kila siku, kila mmoja ukiwa mahala pake...
Kutoka Dstv I would rank the series kama hivi;
1. Jua kali [emoji1241]
2. Selina [emoji1139]
3. Sanura [emoji1139]
4. Kina [emoji1139]
5. Huba [emoji1241]
Tanzania tuongeze juhudi, Wakenya...
1. I LOVE YOU – CATHOLIC MT. THERESIA
Hii nyimbo kama wahusika walifanya mazoezi ndipo wakaenda shoot video basi walifanya mazoezi ipasavyo.Nimependa jinsi wanavyocheza mwanzo mpaka...
Tafadhalini sana wakongwe kuna wimbo uliimbwa sikumbuki kama msondo ngoma au band gani ila KIITIKIO jamaa kwa sauti kali yenye kipaji cha hali ya juu aliimba
"Hili ndilo fundisho kwa wengine...
Huh Nina washkaji home dili ikija wanapindisha sera
Inawaumiza napopiga hela
Wote wanangu bado sijawahi wapinga jambo
Hata wakificha Cargo Bado nawapa hi ‘cause we best friends
Wapo wavivu wapatwe...
Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na...