Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

This Pdf concerns the book of Proficies written by Frenchman author Nostradamus in the year of 1500's.To share his experience of what will happen in the future up to year 3200.
0 Reactions
0 Replies
381 Views
lala, amka kumbuka kuwa lengo kuu la mwaka ni kutafuta pesa ili wanao wasije kupitia mateso, misukosuko na majuto uliyopitia... swali ni kwamba unazipataje hizo hela? hasa kwa wale wasomi ambao...
4 Reactions
1 Replies
621 Views
Filamu ni ya kizungu (western). nadhani inaweza kuwa ni horror. plot yake ipo hivi. Ndani ya familia ya kitajiri lakini utajiri wake unaoonekana ni kwa njia ya kishirikina. Kulikuwa na kijana...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
UTANGULIZI Kifo kina wivu sana, hutuondolea wale tunaowapenda. Hutuacha na majonzi na kumbukumbu za kuumiza, lakini pia hutubakizia jeraha kubwa ambalo hata likipona basi hutuachia alama ya kovu...
12 Reactions
256 Replies
53K Views
CC: Son of Gamba, Heaven Sent
11 Reactions
455 Replies
39K Views
NILIAHIDI NATEKELEZA. Tunaanzia mbali kidogo kujenga msingi.... Katikati ya umri wa kuhitaji malezi bora yanayohusisha wazazi wote wawili, baba na mama yake wanafarakana kiasi cha kufikia...
0 Reactions
4 Replies
863 Views
Hii ndio nyimbo Bora ya muda wote katika karne ya 21. Mkuu wa Burudani Tanzania nimeipitisha Nikiwa Udinde-Songwe
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Story: MCHUNGAJI MCHAWI. Mtunzi: Nellove😎 Episode: 01 WhatsApp: 0759941164 "Naitwa Juliana. Napenda kumshukuru sana Mungu mwenyezi kwa kunitendea muujiza mkubwa maishani mwangu. Sikuwahi...
2 Reactions
8 Replies
10K Views
jaman wadau naombeni kuuliza huyu petitman wakuache ni maarufu sana naomba kuuliza yy hasa umaarufu wake ni wa nn kwa anayejua
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Naweza Kusema Kwa Umbali Mkubwa Sana Hii Ni The Best Videogame Ambayo Imewahi Kupelekwa Live-Action Na Kuwa TV-Series Kwenye Kiwango Bora Leo Tunaanza Na Episode Ya Kwanza Ijulikanayo Kama "When...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hapo zamani, kulikuwa na mwanamke anayeitwa Sara. Aliishi katika kijiji kidogo ambapo kila mtu alimjua mwenzake. Sarah alikuwa na ndoto ya kuwa mama, lakini hakuwahi kupata mtu sahihi wa...
1 Reactions
4 Replies
699 Views
Nimejikuta naangalia kwa bahati mbaya hiki kipindi, for sure judges ni wehu. Wanalazimisha presenters wanaokuja jaribu vipaji vya utangazaji wa magazeti lazima wapayuke kama Zembwela au Maulidi...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Me nazokubali kutoka kwenye album zake na kuzisikia kila mara. 1. UFUNUO WA UNJU BIN UNUKI ~ Natoka tanzania ~ Excuse me miss ~ Where my crown are ALLHAMDULLAH ~ Hands down low ~ Tulia na mimi...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
 Wadau habari zenu Nawakaribisha kunisapoti kwenye muziki wangu wa bongo FLEVA Instagram napatikana kama @ricky_tz_ YouTube ni Ricky tz Muziki mzuri ni burudani ya maisha
0 Reactions
0 Replies
514 Views
VYUMBA VYA WATU WALIOACHWA NA WALIOOA TENA By: Aston Adam Mbaya in Congo 8 Ndugu, Bwana alipokuja, alinichukua hadi mlimani, na tulipaswa kwenda Kuzimu. Tulisimama juu ya mlima. Nilimuuliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii forums, Nilikuwa nahitaji site ambayo naweaa kupatq album za Mr II A.K.A Sugu maana YouTube sipati nyimbo zote. Kwa yeyote mwenye album zake naomba anisaidie. Asante.
0 Reactions
4 Replies
974 Views
Ya saizi kapiga dakika 11 kabisa
6 Reactions
259 Replies
19K Views
Rapa rapcha aliye chini ya mkongwe baba la manyani P Funk aka Majani majuzi aliachia Diss track inayoitwa STORY NYINGINE akiwaponda wasanii wa hip hop kadhaa, mmoja wa wasanii aliyepondwa ni Mkali...
6 Reactions
37 Replies
9K Views
Nataka nijifunze udj, kuitumia mixer na kila kitu kinachohusu u dj. Wapi naweza kujifunza na nipo tayari kulipia? Asanteni
2 Reactions
17 Replies
2K Views
DIZASTA VINA KIBABU NA BINTI.... Aisee ifike mahali tuamini kumbe bado Hip-hop ipo mikono salama.. [emoji16] kiukweli nilishaacha kabisa kusikiliza hip-hop ya vijana wa kizazi hiki coz mistari...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…