Wapi nitajifunza u-DJ?

Wapi nitajifunza u-DJ?

Nenda 24 Dj Academy ipo lifungila baada ya mlimani city, nyuma ya Dr. Toyota office. Bei zao ni laki 3 Kwa mwez na Ni kozi ya miez 2 Hadi mitatu na unapata kila kitu yaani mafunzo, practical na ukimaliza na kuhitimu unapata cheti kabisa Cha u dj ambacho unaweza kuombea nacho kazi sehem mbali mbali. Nb nilimpeleka mwanangu mwaka Jana mwishoni alivyomaliza kidato Cha nne.
 
Nenda 24 Dj Academy ipo lifungila baada ya mlimani city, nyuma ya Dr. Toyota office. Bei zao ni laki 3 Kwa mwez na Ni kozi ya miez 2 Hadi mitatu na unapata kila kitu yaani mafunzo, practical na ukimaliza na kuhitimu unapata cheti kabisa Cha u dj ambacho unaweza kuombea nacho kazi sehem mbali mbali. Nb nilimpeleka mwanangu mwaka Jana mwishoni alivyomaliza kidato Cha nne.

Hongera sana ume mpa mwanao skill set muhimu sana na extra katik dunia ya sasa, kame amehitimu hope ime msaidia kupata chochote kitu.
 
Hongera sana ume mpa mwanao skill set muhimu sana na extra katik dunia ya sasa, kame amehitimu hope ime msaidia kupata chochote kitu.
Asante mkuu, Ingawa alichaguliwa chuo kikuu kusomea diploma ya IT na nimemwambia asisahau na hiyo kozi ya udj ili angalau iwe kazi ya spare ikitokea kazi za Gani yake zimechelewa kutoka
 
Usisahau na Miluzi kama Dj Ally

Karibu PM Mkuu kwa 200k utapata Darasa Zuri Sana kwa miezi miwili, na utexperience vingi!
Ukiwa na kichwa chepesi baasi baada ya hiyo miezi miwili utaanza kufanya kazi nasi kwenye kampuni yetu na tutakulipa! Kwa Makubaliano.
Sawa mnapatikana wapi? Jenni kampuni Gani? Na nipo tayari kulipa
 
Nenda 24 Dj Academy ipo lifungila baada ya mlimani city, nyuma ya Dr. Toyota office. Bei zao ni laki 3 Kwa mwez na Ni kozi ya miez 2 Hadi mitatu na unapata kila kitu yaani mafunzo, practical na ukimaliza na kuhitimu unapata cheti kabisa Cha u dj ambacho unaweza kuombea nacho kazi sehem mbali mbali. Nb nilimpeleka mwanangu mwaka Jana mwishoni alivyomaliza kidato Cha nne.
Kitu roho inapenda kwa mwanao..
 
Back
Top Bottom