theprogrammer C++
Senior Member
- May 17, 2013
- 132
- 320
Nataka nijifunze udj, kuitumia mixer na kila kitu kinachohusu u dj.
Wapi naweza kujifunza na nipo tayari kulipia?
Asanteni
Wapi naweza kujifunza na nipo tayari kulipia?
Asanteni
Asante sana mkuu. Nishaipata na kesho nitawacheki. Nitaleta mrejesho wa gharama na details nyingine.Dj AllyB ana chuo cha u-Dj “Simba scratch academy”. Tafuta jina hilo instagram then anzia hapo na all the best mwakani tukuone unapiga elements.
Pia maeneo ya Mwenge Lufungira kuna chuo cha u dj nimesahau jina,Asante sana mkuu. Nishaipata na kesho nitawacheki. Nitaleta mrejesho wa gharama na details nyingine.
Nasemaje!!!!!Asante sana mkuu. Nishaipata na kesho nitawacheki. Nitaleta mrejesho wa gharama na details nyingine.
OnlineNataka nijifunze udj,kuitumia mixer na kila kitu kinachohusu u dj. Wapi naweza kujifunza na nipo tayari kulipia? Asanteni
Nenda 24 Dj Academy ipo lifungila baada ya mlimani city, nyuma ya Dr. Toyota office. Bei zao ni laki 3 Kwa mwez na Ni kozi ya miez 2 Hadi mitatu na unapata kila kitu yaani mafunzo, practical na ukimaliza na kuhitimu unapata cheti kabisa Cha u dj ambacho unaweza kuombea nacho kazi sehem mbali mbali. Nb nilimpeleka mwanangu mwaka Jana mwishoni alivyomaliza kidato Cha nne.
Asante mkuu, Ingawa alichaguliwa chuo kikuu kusomea diploma ya IT na nimemwambia asisahau na hiyo kozi ya udj ili angalau iwe kazi ya spare ikitokea kazi za Gani yake zimechelewa kutokaHongera sana ume mpa mwanao skill set muhimu sana na extra katik dunia ya sasa, kame amehitimu hope ime msaidia kupata chochote kitu.
Usisahau na Miluzi kama Dj Ally
Sawa mnapatikana wapi? Jenni kampuni Gani? Na nipo tayari kulipaKaribu PM Mkuu kwa 200k utapata Darasa Zuri Sana kwa miezi miwili, na utexperience vingi!
Ukiwa na kichwa chepesi baasi baada ya hiyo miezi miwili utaanza kufanya kazi nasi kwenye kampuni yetu na tutakulipa! Kwa Makubaliano.
Kitu roho inapenda kwa mwanao..Nenda 24 Dj Academy ipo lifungila baada ya mlimani city, nyuma ya Dr. Toyota office. Bei zao ni laki 3 Kwa mwez na Ni kozi ya miez 2 Hadi mitatu na unapata kila kitu yaani mafunzo, practical na ukimaliza na kuhitimu unapata cheti kabisa Cha u dj ambacho unaweza kuombea nacho kazi sehem mbali mbali. Nb nilimpeleka mwanangu mwaka Jana mwishoni alivyomaliza kidato Cha nne.