Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Rigobert Bamundele (28 Agosti 1955 - 26 Oktoba 2023), maarufu kama Rigo Star, alikuwa mpiga gitaa na mtunzi wa soukous kutoka Kongo. Alicheza na makundi kadhaa maarufu ya soukous na muziki wa...
0 Reactions
1 Replies
480 Views
Habari wanajamvi Naomba mnisaidie kwa wale wataalam wa Series (tamthilia) wanijuze series gani kali ( kuna visa, mikasa, ngumi, mapenzi, usaliti, visasi, visa mafunzo) isiyochosha wala kukinai ...
2 Reactions
231 Replies
36K Views
60: Bushoke - Mume Bwege 59: Bwana Misosi - Nitoke Vipi 58: Mr Nice - Fagilia 57: Joslin - Niite Basi 56: J.I - Kidato Kimoja 55: TMK Wanaume - Dar Mpaka Moro 54: 2 berries - Na Wewe...
9 Reactions
28 Replies
13K Views
Kuelekea michezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya kombe la Afrika (AFL) kesho kati ya Simba SC dhidi ya wenyeji Al Ahly, katika dimba la Cairo imebainika kuwa sheria ya goli la ugenini sio...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakubwa nakuja tena kwenu kwa mara ya nne,naomba mtu anayejua mahala nakoweza kupata tamthiliya ya SIRI YA MTUNGI ikiwa imekamilika. Youtube kuna episodes chache tu.
1 Reactions
6 Replies
642 Views
Kenya wameanza hizi Mambo kitambo , huu wimbo maarufu wa malaika asili yake ulitungwa na mtanzania Adam Salim Ila Kuna mkenya enzi hizo bwana fadhili William anadai Ni wake c kweli, hii kiswahili...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Tuambie list ya Bongo fleva kuanzia 2010 kushika chini unazozikubali. Lady jaydee machozi na Damu. Mwanafa Yalaiti Diamond platnumz kamwambie. Niambie wewe?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeweka nyimbo 4 za wapiga solo tofauti kwahiyo unaweza kudownload kusikiliza na kuamua kwako nani mkali. 1. Dally Kimoko 2. Diblo Dibala 3. Nene Tchakou 4. Saladin Twende kazi
4 Reactions
121 Replies
11K Views
Habari wana jamvi? Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na...
8 Reactions
141 Replies
8K Views
Mwenye nao msaada please
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana Jami forums naomba ni wasalimu wote kwa heshima zote. Leo nakuja na story ya kweli ya mtoto wa waziri maarufu kwenye awamu ya nne. Huyu kijana ambaye Sasa ni mtu mzima. Nimekutana naye...
10 Reactions
59 Replies
6K Views
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini...
12 Reactions
21 Replies
2K Views
(Kutoka kwa mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Taxi; Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo) Na Bishop Hiluka 0685 666964 |...
14 Reactions
1K Replies
141K Views
India ni nchi yenye utatibu wa kuwa na sherehe za kuvutia zinazosherehekea utofauti wake uliopambwa na utajiri wa kitamaduni. Rann Utsav eneo la Kutch katika mkoa wa Gujarat bila shaka ni...
0 Reactions
3 Replies
477 Views
Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Kama mnavyojua tena Koffi Olomide akiwa na kundi lake la Quarter Latin amefanikiwa kutoa album nyingi na nzuri, leo nataka tujue kizazi kipi kwa kofi kilikuwa bora na kilimng'arisha sana kofi. I...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Generation Z ni kizazi kisichotaka mambo mengi kwenye maisha, mfano nimekutana na hiki kipande cha mchekeshaji Chard Talent akiweza kuimba kwenye beat iliyopigwa kwa kutumia Guitar na msanii Hamis...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B. Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna...
18 Reactions
901 Replies
36K Views
Wadau natafuta series zenye ladha kama hizi; Six Flying Dragon na Gwaggaeto, zenye siasa na mapigano kwa wingi.
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo. Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana...
2 Reactions
10 Replies
803 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…