Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hapa Bambo kule Kingwendu nani kaangusha Melodies kali zaidi?
0 Reactions
7 Replies
626 Views
Kulikuwa na bifu lililotikisa miaka ya mwanzoni ya 2000 kati ya TMK na east coast, kipindi hiko watoto wengi wa 2000 ndo walikuwa wakitungwa so hawajui lolote. Gk kupitia truck yake kali ya hii...
1 Reactions
3 Replies
598 Views
Let me go bare knuckles. Our majirani (Tanzanian) are needful lot. They depend on The Storybook, a show on Wasafi TV, hosted by Jamal April who translates Wikipedia stories to Swahili while...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote 1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako...
13 Reactions
138 Replies
10K Views
Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo. Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ? Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki...
3 Reactions
6 Replies
477 Views
Hapa nasikiliza mahaba ya alikiba ngoma inayo fata ni burnaboy common person
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka". Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda" Wimbo kama...
7 Reactions
64 Replies
3K Views
...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
https://youtu.be/FFY_B6PuMA8? si=K7BnBmCJjhhaSPot I dedicate to my boo my husband to be my lovely only one . I LOVE U SO MUCH
9 Reactions
231 Replies
7K Views
Licha ya kutafuta sana mitandaoni sijafanikiwa kuona kazi za hapa karibuni kutoka kwa hawa wadada wawili, kazi zao ni zile zile za zamani. Hivi bado wapo kwenye tasnia au walishastaafu?
6 Reactions
89 Replies
6K Views
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo: 1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist Jamaa ana...
0 Reactions
0 Replies
666 Views
MAMA’KE MAMA - 1 IMEANDIKWA NA : GEORGE IRON MOSENYA ******************************************************************************** Simulizi : Mama’ke Mama Sehemu Ya Kwanza (1) Laiti kama...
5 Reactions
10 Replies
30K Views
Naona vipaji vya kawaida sana na hawazitendei hali nyimbo wanazoimba. Kuna wimbo aneimba Allan nipeni dili,uliwahi kuimbwa na mshiriki mmoja binti alikiwasha sana na ninakiri mimi ndipo nilianza...
1 Reactions
3 Replies
521 Views
Sehemu ya kwanza: Nilikua peke angu chumbani, ni siku muhimu kwangu kuliko siku zote nimewahi ishi katika umri huu wa miaka ishirini na moja, mwanaume niliempenda sana tangu nikiwa kidato cha...
7 Reactions
70 Replies
35K Views
Bongo movie mjitathimini , Tamthilia ya Huba leo ni siku ya nne inarusha scene ya safari toka Zanzibar to Dar . Humo ndani siku zote hizo nne hakuna cha maana kinarushwa humo ndani ya ndege zaidi...
4 Reactions
11 Replies
909 Views
Kuna msanii wa nyimbo za injili jina limenitoka kdg alishawahi kuimba "Baba wew ni wakuaminiwa, hubadiliki milele na milele hata nikibadilika wew unabaki yule yule hata nikikengeuka wew utabaki ni...
1 Reactions
0 Replies
330 Views
Hakuna watu wanaona ni wataalamu wa hizi kazi na wao ndio wanajua kama washabiki wa dizasta vina, bob Marley, wasikilizaji wa Hiphop, wapenzi wa movie za kijasusi. Wanaonaga wengne kama mazuzu...
0 Reactions
2 Replies
298 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…