gekaboy
Member
- Nov 27, 2021
- 49
- 103
Hakuna watu wanaona ni wataalamu wa hizi kazi na wao ndio wanajua kama washabiki wa dizasta vina, bob Marley, wasikilizaji wa Hiphop, wapenzi wa movie za kijasusi.
Wanaonaga wengne kama mazuzu fuln hv wasio jielew kauli zao sasa
Mimi siwezi msikiliza muimba kwaya(Lucky Dube)
Movie za kitoto hizo siwezi angalia (e.g Merlin
Nyimbo za wabana pia hizo azina contents yyte (Bongo fleva)
Kwnn tusiheshimu kila kitu ambacho mwenzako anapenda, kuliko kukidharau na kuona akifai chako ndio kinafaaa
Et wadau watu wa hvyo ushakutana nao na unahisi nn tatizo la watu kudharau hobbies za watu?
Wanaonaga wengne kama mazuzu fuln hv wasio jielew kauli zao sasa
Mimi siwezi msikiliza muimba kwaya(Lucky Dube)
Movie za kitoto hizo siwezi angalia (e.g Merlin
Nyimbo za wabana pia hizo azina contents yyte (Bongo fleva)
Kwnn tusiheshimu kila kitu ambacho mwenzako anapenda, kuliko kukidharau na kuona akifai chako ndio kinafaaa
Et wadau watu wa hvyo ushakutana nao na unahisi nn tatizo la watu kudharau hobbies za watu?