Mke wa mwanamuziki wa bongo fleva Bob junior aka mkata mauno ametoa duku duku lake kuhusu my ex husband wake huyo kuwa ana tabia chafu na zisizofaa kwenye jamii na ndio maana kaikimbia ndoa yake...
Rais kikwete kama siyo tangazo hebu wazuie hawa clouds media group ile sauti yako inayosikika unasifia fursa radio cloudz fm...mim nahisi kama wanakuchora vile kila muda wanapiga tu kama tangazo...
Madiba peleka salam hizi kwa mzee we2,(jk Nyerere) mwambie hivi Tanzania hakuna tena kuna Tangagiza,,
Viongozi bora hakuna tena sasa hivi kuna Wezi bora,bunge hakuna tena sasa hivi kuna...
dogo kazaliwa mwaka 1994, kuleeeee canada!
kipaji chake cha muziki kiligunduliwa mnamo mwaka 2008 na scooter brown, american talent manager.
hapa yuko katika kitaa na mdingi wake!
Kifo cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini kimewasikitisha watu wengi sana wakiwemo watu wa maarufu duniani lakini rapper Nicki Minaj mwenye wafuasi milioni tatu na nusu kwenye instagram amevunja...
Mandela's daughter Makaziwe Mandela-Amuah, centre, and her daughters Tukwini and Ndileka, right, are thought to have been with him at
His daughter, Makaziwe Mandela, arrived at her...
First lady wa label ya YMCMB Nicki Minaj amesherehekea birthday yake ya kutimiza miaka 31 na mafanikio ya kujivunia kwenye kazi yake ya muziki ambapo party ilifanyika huko L.A na restaurant...
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi...
Mbunge maarufu na mwenye vituko nchini Kenya maarufu kama SONKO ameonyesha picha za simu yake ya mezani yenye umbo la msichana aliyevaa bikini Tazama hapa chini picha zaidi..
Below is Tupac's Poetical Tribute to Mandela:
JUST A BREATH OF FREEDOM (For Nelson Mandela)
Held captive for your politics
They wanted to break your soul
They ordered the extermination
Of all...
Wema Sepetu ambaye ni Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu anajuta kutumia mkorogo na hatimaye kupoteza urembo wake wa asili aliokuwa nao mwanzo kabla ya kuanza kujichubua. Hajiamini tena...
Baada ya mwanamuziki wa kizazi kipya kufunguka na kuamua kumdiss mwanadada baby Madaha a.k.a The Bad Gul kuwa hawalingani hivyo hana muda muda wa kuwa na beef na mrembo huyu wa filamu na muziki...
Akizungumza wikiendi iliyopita katika Viwanja vya TCC Changombe jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa na mechi kati ya wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Muvi, Ray aliwashangaa waandishi kwa...
Habari wana JF, Poleni macelebrity!
Dhumuni la uzi huu leo nataka tuzungumzie muziki wa kinaigeria kama mziki ambao ni moja
ya muzik kwenye mafanikio makubwa barani Afrika na Duniani kiujumla...
thursday, may 28, 2009
Nyota wa Sinema wa Marekani wataka
kutengeneza filamu zao katika Tanzania
. Wawakilisha mapendekezo kwa Rais Kikwete
Na Mwandishi Maalum
KUNDI la wachezaji sinema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.