Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Stori: Gladness mallya MWANA DADA kutoka kiwanda cha muziki na filamu Bongo, Baby Madaha ameonekana kukomalia kuolewa na meneja wake, Joe Kairuki huku akidai kuwa, mwanume huyo ni mume sahihi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Paul of Psquare & Anita have been together for over 10 years now .The beautiful couple who have a son will be holding their Traditional wedding on Saturday 22nd March 2014 in Port Harcourt.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani huwa namuona Bball kitaa and he is good being a presenter. Naomba historia ya huyu jamaa (alipozaliwa, kukulia, elimu, kazi, mahusianona nk)
0 Reactions
20 Replies
5K Views
. Wema sepetu anapendeza sana bila kufanya make up na kuvaa mawigi!
0 Reactions
65 Replies
14K Views
nimesikia ktk Afrika mashaki wasanii wenye pesa wanapatikana uganda ! Tz ni mke wa mtunza bustani 2 ! ajuae anijuze
0 Reactions
13 Replies
20K Views
MWIGIZAJI wa kike wa filamu Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefunguka kwa kuongelea ugomvi na chuki ambazo zimekuwa zikiripoti kwa akina dada kutoka Bongo movie sababu kubwa ni ugomvi wa kuibiana wanaume...
1 Reactions
27 Replies
13K Views
Huu muda wote mpaka Miley Cyrus amalize concerts zake za Bangers tour, tutajitayarisha kuona mengi. Hivi mwezi jana staa huyu aliweza kuilamba chupi ya fan wake mmoja na haingekuwa maajabu kuona...
0 Reactions
2 Replies
46K Views
Stori: Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu' amefunguka kuwa kama siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena, atazaa tu. Katika mahojiano...
0 Reactions
40 Replies
21K Views
Kutoka kwa shuhuda wetu, jana March 13 2014 kulitokea ugomvi studio baada ya Ommy Dimpoz kupost picha akiwa studio na Diamond na mwimbaji Mkenya Victoria Kimani ambae amewahi kuingia kwenye...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Movie inaendelea.
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamani, poleni na shughuli za hapa na pale Me naomba kuuliza, hivi huyu mustafa Hassan ally mwanamitindo, huu wembamba alionao ni diet au kuna kitu kingine kimefanyika? Maana miaka ya nyuma kidogo...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Msanii wa hiphop Ibra Da Hustler amepelekwa rehab ndani ya Kigamboni Sober House! Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha XXL cha clouds fm mama mzazi wa msanii huyo amesema amelazimika kumpeleka...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Singer Chris Brown was arrested yesterday afternoon by Los Angeles County deputy sheriff on a warrant related to his 2009 conviction for assaulting his then-girlfriend Rihanna. He was taken to...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Hakika ana uzuri wa asili hususani ngozi yake. Hata hivyo-mnisamehe kama ntakuwa nimekosea-siku ya utoaji tuzo, huyu binti ngozi yake ilionekana kama ametolewa toka kwenye matope, maana sehemu...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila, leo aligeuka kioja baada ya kutinga katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, akiwa amenyuka suti...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Mmoja kati ya vinega wa ant virus MKOLONI amesema movement ya vinega iko palepale na sugu ndani waliyopatana leo ni ile dili ya MALARIA tu na cyo MOVEMENT YA MUZIKI na WANYONYAJI
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Sio siri jamaa kimuziki alikuwa yuko vizuri sana kipindi fulani. Ngoma zake kama Zeze bado nazisikiliza na kuzikubali. Kipindi cha karibuni amekuwa kimya, hivi bado ana-perfom na bendi yake?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
sugu amesema kuwa ana mpango wa launch kinywaji chake akiongea kupitia kurasa zake za facebook sugu anasema .im quitting konyagi soon...coz im about to launch my own drink...!!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkali wa sauti , panclas ndaki "pnc" amefunguka kuwa ameamua kupambana kivyake bila msimamizi kwenye game ili kuhakikisha mziki wake unasonga mbele. Amefunguka hayo Mara baada ya boss wa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Taarifa kwa umma: Leo majira ya saa 7 vinega wengi walikuwa pale mahakama ya kisutu ili kuweza kujua ni madai gani yaliyowafanya waitwe mahakamani......madai ambayo kwa mujibu wa karani wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…