Vyombo vyake vya habari kwa miaka 20 vimetoa wana habaro ambao karibia wote leo ni watu wenye hali nzuri kimaisha
Kuna wengine wameshatangulia mbele za haki RIP lakini wameondoka kwa heshima...
Inasemekana ule mjengo wa kijitonyama aliokuwa akiishi super star wema sepetu ilikuwa siyo ya kupangisha kama inavyojulikana, Bali mjengo ule ni mali halali ya bwana clement , ambayo alinunua kwa...
Duh wewe jux sio mtu mzuri, ndio nini kutupa presha kipindi kile?, ukajifanya wewe ndo Jackie ukaingia kwenye account ya instagram ya jack na kujifanya jack ukapost utumbo unaoujua wewe, au ndo...
Naye mrembo na videoqueen mashuhuri tanzania AGNESS GERALD masogange naye hivi majuzi ameonesha picha za tattoo alizojichora na picha nyingine akichorwa kupitia mtandao huohuo wa instagram...
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho Maya
amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona
mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto
kwani wote...
Hakika Diamond si Mwenzetu Sasa hivi Baada ya Video yake ya Number 1 Remix kufanya vizuri na kufikia kukamata namba moja katika kituo kikubwa cha Tv Trace sasa amekuwa kama lulu, Unaambiwa...
Ni zaid ya boss,siyo mtemi..ni rafik,ni kaka yetu, ni mshauri wetu, na siku zote anapenda aone tunafanikiwa,anatufanya tujione tunaweza kufanya hat yale tuliyojiona hatuwezi fanya. Siyo mkosoaji...
Kama mnavyoona kwa picha,maisha ya baba yake ni duni wakati wasanii mjini wanamsujudu,wadogo zake wamefukuzwa shule kwa kukosa ada.
BABA YAKE AMLAANI YEYE NA WANAOMUIMBA KWENYE MUZIKI.
Akiwa katika mahojiano na na mwandishi wa swahilitz msanii mwenye heshima kubwa katika kiwanda cha bongo movies Yobnesh Yusuph "Batuli" aliweja wazi kuwa wasanii wengi wakike ndiyo watumiaju...
Kuna rumours nyingi hapa kitaa kua jide anahusika katika hii redio mpya inayokaribia kuzinduliwa hapa bongo!
It might be the way to fighting the monopolistic radio(the big one) in bongo music...
Stori: Paparazi Wetu
BAADA ya minong'ono ya muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah' ameweka wazi kuwa anatoka kimapenzi na Nagari Kombo.
Akiteta na kona hii...
Shule ni tatizo kubwa sana kwa wasanii wetu jamani. Kwakweli linapokuja swala la kutumia lugha ya malkia hapo utacheka mpaka ulie.
Angalia kijana wetu anavyoshuka "ung'eng'e" kama nyani ngabu...
Radio legend and culture critic Troi Torain popularly known as Star who became famous for being outrageous on NYC radio, has revealed Jay Z's real age. According to him, Jay Z is his age mate...
It's just dinner! Rihanna goes for the shock factor as she wears a COMPLETELY sheer skirt over bright pink underwear for a quiet evening outBy SARAH BULL
PUBLISHED: 09:57 GMT, 21 March 2014 |...
The Tanzanian Singer introduced his baby mama in this awww-inspiring message
" Happy birthday to this beautiful girl of mine aka mama lolo, mama yake mtoto wangu ,mother house, mother kitambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.