Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Siku Diamond Platnumz anafagia tuzo saba za Kilimanjaro, ubavu wake kushoto Wema Sepetu alikuwa naye bega kwa bega. Na katika wakati mmoja alipanda jukwaani kutoa maneno ya shukrani kwa niaba yake...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini Wema Isaac Sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la Mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema...
3 Reactions
75 Replies
12K Views
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na mahitaji yake hadi kumpandisha kupiga show moja si ya...
2 Reactions
143 Replies
20K Views
KIMENUKA! Komediani aliyebahatika kuwa maarufu Bongo, Mujuni Silvery 'Mpoki' yuko njiani kupandishwa kizimbani kufuatia mastaa waliodai aliwadhalilisha usiku wa Tuzo za Kili kucharuka na kwenda...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Producer na CEO wa Bhitz Music Group, Hermy B ameandika barua ya wazi akielezea yaliyowahi kutokea Bhitz, uamuzi na mpango wao mpya. Nikiwa kama CEO wa B’hitz Music Group na Producer ambaye...
3 Reactions
36 Replies
6K Views
Kuna nyimbo imeenea kwenye mitandao ya kijamii toka jana, ambayo watu wameibatiza jina la tororondo sijui, ukweli wa nyimbo hiyo siyo nyimbo oficial mana kuna mpaka baadhi ya watu wameileta humu...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Amani iwe nanyi wanajamii! Kazungumzwa sana George Maratu wa ITV,vip kuhusu huyu jamaa wa kipindi cha zamadani pale TBC!? Mimi binafsi sielewi kuwa ni swaga au pozi kwenye kuongea kwake ila kwa...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Hatimaye Nay wa Mitego amezungumzia scandal iliyokuwa ikimhusu mchumba wake aitwaye Siwema ambaye mwezi uliopita ilisambaa video na picha kwenye mtandao wa Instagram inayomuonesha akivishwa pete...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Siku chache zilizopita, Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond kabla hajabwaga manyanga alilalama kwenye vyombo vya habari kuwa Jokate ameingilia penzi lake kwa msanii huyo, tuhuma ambazo...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Manager na msemaji mkuu wa msanii maarufu wa filamu wema sepetu aitwaye martin kadinda , amefunguka kuhusu Team zinazoendelea uko IG. Hiki ndicho alichokiandika. " Kusaidiana katika maisha ...
2 Reactions
159 Replies
16K Views
hii picha alipiga morogoro na mastaa wa kike
0 Reactions
44 Replies
13K Views
Ndo kama hivo
0 Reactions
9 Replies
2K Views
jamani naomba kuuliza hapa kati ya ruge mutahaba na kusaga nani ni mmiliki halali wa clouds fm?? maana hapa mimi huwa nachanganya je na yule kusaga aliyekufa ni nani? je na...
0 Reactions
32 Replies
20K Views
Check Out Hollywood's Top Earning Actors! kwa wale ambao kikristo hakipandi,hawa ndio waigizaji kumi bora wanaolipwa pesa nzuri hollywood . #10) Liam Neeson With his action packed thrillers...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
EXCLUSIVE: HUYU NDIYE BINADAMU ALIYETAJIRIKA KUFUATIA KUJIBADILISHA MWILI WAKE NA KUWA KAMA MJUSI HUKO KWA WENZETU. Jina alilopewa na wazazi wake ni Erik Sprague, ingawa Ulimwengu unamfaham...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Mnaofuatilia huo music, naomba jibu.
0 Reactions
35 Replies
12K Views
WASANII wa Bongo Movie, muziki wa dansi, taarab, maigizo na tamthilia wametangaza kuzunguka nchi nzima wakiwa na kamati ya Tanzania Kwanza Nje ya Bunge Maalum la Katiba kwa lengo la kutangaza...
3 Reactions
185 Replies
15K Views
Ndani ya Bongo mambo Supa hapana uongo Ingawa sometime bongo chungu kama si fongo Nafanya makaratee kama machinga mtraa wa Kongo Na kimitindomitindo nakata ngebe kimtimanyongo Hapana...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Maneno yalikuwa yanasemwa mtaani na baadae ikajulikana kuwa ni kweli Kajala na Wema hivi sasa wapo katika ugomvi mkubwa tu, jambo ambalo Kajala mwenyewe alifunguka kuwa, Ndio tunaugomvi kama...
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Back
Top Bottom