Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

hawa jamaa ni balaa sana. Wakati nakua nilikuwa napenda sana hadithi za shigongo. Badae nikaja kuwajua waandishi wengi sana. Ila walionivutia zaidi ni hawa watatu,..tuwa,shigongo na mzee beka...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
wakuu, nimekuja na neno hili baada ya kushuhudia wema Sepetu alivyofanya fujo na kujidhalilisha ndani ya Ofisi za GPL.. kwa kweli kwa jambo kama lile, sidhani kama wema sepetu alistahili kwenda...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda katika pozi tata. PICHA inayomuonesha mwigizaji Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda imezua utata kuwa huenda wawili hao wana zaidi ya...
0 Reactions
20 Replies
14K Views
Mwenyewe amekiri Mara kwa Mara kumzimikia mwana muziki wa kizazi kipya, Diamond platnums na kusema ndiye mwanaume anayemzimikia kuliko mwanaume yeyote, na ndiye mwanaume anaye wish kuwa husband...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Hii imetokea wiki iliyopita ambapo Maujanja Saplayaz a.k.a Mapacha walienda kumuangukia Ruge na wasanii wake ikiwemo F.A ...na wamesamehewa
0 Reactions
95 Replies
12K Views
Baada ya kutolewa video yake ya Nimevurugwa kwenye tuzo za Ktma 2013/2014 Snura ame-amplify taarifa mpya hizi zinahusu kile ambacho kilionekana kusababisha video yake kufungiwa na kutolewa...
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Baada ya wiki chache kupita toka msanii classic bongo,wema isaac sepetu kuingiza mnyama mpya aina ya lexus,uwoya naye kajibu mapigo kwa kununua(sina uhakika) benzi matata sana inayoendana na hadhi...
0 Reactions
56 Replies
18K Views
Jokate Mwegelo yupo single and ready to mingle.. atleast for now. Staa huyo mwenye vipaji lukuki alisema hayo Jumatatu hii kwenye kipindi kipya cha TV1, ‘The One Show' anachokiendesha kwa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina...
0 Reactions
49 Replies
14K Views
Ile ya Mara ya kwanza nimenyamaza kimya sasa ivi tena mkaamua kubeba habari nzima, yaani Mme copy na Ku paste kwenye Gazeti lenu, wakati mnajua habari mmechukua kwangu, mbaya zaidi hata taarifa...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Money is really good as the kardiashians are having a good time in Thailand...see photos of luxurious apartment costing $150,000 ,pesa tamuuuu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Miezi ikapita, mawiki yakasonga hatimae siku, masaa na dakika zake zikapotea na sasa EFM inayopatikana katika masafa ya 93.7 imesikika hewani kwa majaribio kwa mara ya kwanza. Redio hii iliobeba...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
She screeched when Jay Z mentioned her name In his song with Jay Electronica titled 'We Made It', (where he also dissed Drake) Jay Z rapped; I'm on my Lupita Nyong'o, Stuntin' on stage after 12...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ingia hapa kuutizama #TZA Ile video ya Wasanii wa Afrika ambayo Diamond na AYTanzania wamo imetoka tayari.
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Hapa Owoya akifurahi jambo toka kwa Baba haji kabla ya kukolea kilaji. Iren Uwoya akiwa anajipapasa mwilini mwake…Kilichofuata sasa Duh Cheki Picha chini. Mmh hapo sasa sijui alikuwa...
0 Reactions
11 Replies
18K Views
She shared this pic on Instagram with a caption "All I need in dis life I swear, jus me nd my baby....." Hivi ilo wig si ndio alivaa Diamond juzi kati mnalikumbuka niliweka picha hapa JF
0 Reactions
12 Replies
10K Views
STAA wa filamu za Bongo, Hemed Suleiman ‘PHD’, amewataka kina dada wanaomtaka mahusiano ya kimapenzi kukaa mbali naye, kwani kwa sasa ameamua kutulia na mpenzi wake, na anatarajia kufunga ndoa...
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Baada ya kutua Nigeria Diamond amedakwa na kufanya Collabo na Mwimbaji wa Kike Anayejulikana kwa Jina la WAJE Ambae inasemakana ndio Mwenye Mafanikio Makubwa nchini humo kimuziki kwa Waimbaji...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Lmao Kim who is on vacation with her family in Thailand learned the hard way that elephants aren't fans of selfies. While trying to take a selfie with an elephant, she got a shocker when it...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom